Soul ties au vifungo vya nafsi

Soul ties au vifungo vya nafsi

Kaunga

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
12,529
Reaction score
13,501
Wapendwa wana MMU.

Kumekuwa kukisemwa mara kadhaa kuwa ukifanya mapenzi na mtu mnatengeneza muunganiko fulani ambao unakuathiri kwa namna moja au nyingine.

Wengi wetu tulivyoambiwa tulibaki na mshangao ulioambatana na tafakari yenye kukata tamaa sababu tunajua misururu tuliyofungama nayo.

Na kwa kiasi kikubwa hatujui cha kufanya. Habari njema ni kwamba kuna jinsi ya kujifungua au kufunguliwa najaribu kutohubiri injili sana ili nipate wasomaji wengi.

Vifungo vingine ni vile vinavyofanyika tunapoenda kwa waganga wa kishirikina. Chale tulizochanjwa, dawa tulizooga,dawa tulizokunywa, hirizi tulizozika majumbani mwetu kwenye biashara maofisini.

Kifupi we have sold our souls to the devil. Maana nafsi zetu zimeunganika na nguvu au power behind the charms, chale, concoction au chochote tulichofanya.

Maneno na ahadi za kipindi cha mapenzi hapa nakumbuka kuna mpenzi wangu mmoja aliniambia niseme kuwa sitamuacha mpaka kufa.

Kuna meingine nilimwambia 'nitamsubiri hata ikiwa ni life time kweli natakiwa nibadilishe hizo kauli cause I guess I am still waiting for him.

Mwisho ni porn. Hii huleta uzezeta,uzembe,umaskini, infedality, ndoa kuvunjika, kupunguza umakini katika chumba cha ndoa etc.

So guys I have said hapo juu. Kama unajiona in a way nafsi yako imefungamana na nyingine. Au kuna vitu hupendi kufanya ila unajikuta huwezi acha kufanya basi kwa walioko Dar.

Jumamosi pale emaus center Ubungo kuna ibada kali ya kujifungua na hivyo vifungo ili tuwe huru. Note the word kujifungua ni kuwa wewe unayo nguvu na mamlaka ya kujifungua.

Mradi tu ujue unachokifanya na uwe na imani kuwa kwa Damu ya Yesu ambayo inatosha huitaji kuchinja mbuzi au kuku basi all chains hata kama ni za diamond zinayeyuka.

Nenda na majina ya watu wote uliosex nao kama unataka kutoka katika vifungo nao. Usisahau kujifungua na matambiko na waganga wote.

Kama una addiction ya porn basi unatolewa ushauri pamoja na maombi ya kufunguliwa. Ibada inaanza saa nane mchana,leo pia ipo kwa wenye muda.

Mbarikiwe sana.Cc: Ngotty for clarification. Kongosho for critic na wemgine wote.
Karibuni.
 
Yaani tungejua root cause ya relation nyingi kufeli kuwa ni soul zetu kufungamana na say waliotubikiri au msururu wa wapenzi tungekimbia sana kujifungua.
Mfumo dume unamfanya mtu kama mzabzab yeye atake mwanamke bikira ilhali yeye kila kukicha anagegeda wadada wengine. Hata akioa bikira bado ndoa yake yaweza isitulie maana yeye mzabzab hana ubikira wowote in fact anamsururu wa say wanawake 14 hivi.
 
Last edited by a moderator:
Kuna mambo mengi ambayo huendelea katika maisha ya kiroho ya mwanadamu...

Na kwa namna ilivyo yanayotokea katika roho huwa ndio chanzo cha yatokeayo katika mwili...

Once ukishatangaza kushindwa upande huo tusiouona basi hata huu wa mwilini hatuwezi kushinda...

Yaani tungejua root cause ya relation nyingi kufeli kuwa ni soul zetu kufungamana na say waliotubikiri au msururu wa wapenzi tungekimbia sana kujifungua.
Mfumo dume unamfanya mtu kama mzabzab yeye atake mwanamke bikira ilhali yeye kila kukicha anagegeda wadada wengine. Hata akioa bikira bado ndoa yake yaweza isitulie maana yeye mzabzab hana ubikira wowote in fact anamsururu wa say wanawake 14 hivi.
 
Last edited by a moderator:
Ubongo hutunza kumbukumbu za wale tuliowahi kukutana nao maisha lakini MOYO huifadhi kumbu kumbu za wale tunaowapenda maishani mwetu..kwa sababu wale tuwapendao kutoka moyoni huwa wanaishi ndani yetu katika siku zote za maisha yetu...
 
Wachaga wengi irizi zao zimefukiwa migombani kwao. Sasa watafunguliwaje
 
Kuna mambo mengi ambayo huendelea katika maisha ya kiroho ya mwanadamu...

Na kwa namna ilivyo yanayotokea katika roho huwa ndio chanzo cha yatokeayo katika mwili...

Once ukishatangaza kushindwa upande huo tusiouona basi hata huu wa mwilini hatuwezi kushinda...

Amina
Kusema ukweli few years back ungeniambia habari za ulimwengu wa kiroho ni heshima yangu tu ya imani za watu zingenishanya nisikujibu kunya. I was totally ignorant traditional catholic.
Open mindedness yangu ndio ilinifanya nisikilize mahubiri ya wapentekoste na sasa kikundi cha karismatiki. Yaani nimeachwa na effect ya 'wow, ala kumbe, ndio maana.....' na vitu kama hivyo.

Nimefurahi na I have this sense of freedom inside yaani nimei claim back soul yangu kutoka kwa shetani and boy.. this feels so good..
 
Wachaga wengi irizi zao zimefukiwa migombani kwao. Sasa watafunguliwaje

Sasa ziko migombani na effect zake si wanazipata huku? Ndivyo hivyo zikiwa destroyed huku basi zinapukutika huko huko. Ni vita ya kiroho na sio phisical. Hujaangaliaga movie za wanigeria?
 
By :
Rachel Gow, 29, struggled to overcome the death of her mother, Connie
Family and friends thought she was improving when she met her boyfriend
But the inquest was told that she became worried he would leave her
Family said her greatest wish was to 'settle down and have a family'

Name: 258F475D00000578-0-image-a-5_1423646414912.jpg Views: 0 Size: 93.4 KB


A high-flying health service administrator killed herself because she could not come to terms with the fact she was about to turn 30 without marrying or starting a family, an inquest heard.

Graduate Rachel Gow, who was also struggling to recover from the death of her mother, wanted to walk up the aisle and have children.

She became troubled that her siblings were ‘doing better than her’, the hearing was told.

Two months before her 30th birthday, she texted her engineer boyfriend, Anton Tsvarev, 30, wishing him ‘all the best for the future’.

He found her body on the floor when he returned to the house they shared. Her family and boyfriend told the hearing of their devastation that the ‘kind and generous’ self-confessed ‘dizzy blonde’ hadn’t lived to see her dreams fulfilled.

After doing well at school, where she enjoyed dancing and playing the violin, Miss Gow studied at Lancaster University where she graduated with a 2:1 in history, the hearing was told. She then secured a job as an administrator at Royal Bolton Hospital.

In a statement read to the hearing, her brother Stephen Best and sister Sarah Davidson said: ‘Her greatest wish was to settle down and get married.’

She had been through three break-ups before meeting Mr Tsvarev in May 2012, they said, and had been very badly affected by the death of her mother Connie, a primary school teacher, from cancer at the age of 66.

The couple moved into a house in Haslingden, Lancashire in 2013, and according to family and friends seemed content. ‘Following the death of her mother, Rachel had a period of independence,’ her siblings’ statement continued.

‘She met Anton and they were both extremely happy. He moved in. They had lots in common. But she could not overcome her previous sadness and felt Anton would leave her. She was looking forward to turning 30, planning trips to Italy with Anton and going to Vegas for her birthday, she was saving money every month.

‘But the relationship became unstable and they tried to make it work.’

Mr Tsvarev told the hearing in Burnley: ‘Our relationship had a lot of ups and downs due to her insecurities. She constantly felt I was going to leave her but this was not the case.’

Miss Gow went to see a psychologist last September as she struggled to cope with the approaching milestone as well as the anniversary of her mother’s death.

‘She felt she was not where she should be in life,’ Mr Tsvarev said.

He added that his girlfriend felt that she should be married with children by now and that her siblings were doing better than her. ‘This was something she struggled with,’ he said.

She had also talked about suicide techniques but he had regarded the comments as being ‘in the heat of the moment,’ he added.

The day before Rachel was found last November 1, the couple went to her father's house to look after his dog while he was away. But in the morning, the couple had an argument over a text message Miss Gow had found on Mr Tsvarev's phone from someone else.

He said: 'In the morning we both got up. I had my phone on charge in the bed room. She looked at it. She came into the living room very upset telling me to leave. She had found texts on my phone from someone. They were not out of the ordinary. She didn't see it that way.'

Later that the day couple drove home to their house in Haslingden and Anton went out to visit a friend in Preston. He said: 'She was still upset when we arrived home. She was very agitated. This was not a new thing.'

He told the court he had left the house after picking some clothes and went to stay somewhere else for a while.

He added: 'I got a text from her wishing me the best for the future. It was common place after an argument so I didn't think anything of it.'

However Mr Tsvarev 'had a really bad feeling' so he decided to go back to Haslingden to see if everything was alright. He said: ' I went into the lounge. The lights were off but the fire was on. I could see her lying on the floor.'

The inquest was told that Anton performed CPR on Miss Gow until emergency services arrived just before 9pm, but Miss Gow was pronounced dead.

Tests showed Miss Gow had died from hypoxia.

Recording a verdict of suicide, Coroner Richard Taylor said: 'We have a girl who is severely troubled by a number of aspects of her life.

'As I understand it she was having a slightly more positive year because of new employment. But she clearly had difficulties and at some stage she purchased the items with which she took her own life.

'It appears from her actions she did that with intent to end her life.'

In a statement Mr Tsvarev said: 'Everyone is devastated by Rachel's death. It's a tragic loss for everyone, I'm absolutely heartbroken.

'Being around her was so easy, we enjoyed all the same things and we loved going walking together in the Lake District. Rachel did a lot of travelling all over the world and she was very adventurous and loved life.

'She was a fantastic person who inspired everyone around her. She was still grieving for her mum - they were very close. She really did miss her mum, she always spoke very highly of her.'

Miss Gow's brother Stephen Best added: 'Through all of our grief and sadness, it is essential that we remind ourselves of why we all loved her. Rachel was effervescent, full of fun and laughter, and could tell a brilliant joke.

Sister Sarah Davidson said: 'She was very popular and made friends easily. She was a kind and generous person who made other people feel at ease. She was a treasured sister and was wonderful with children.'

Source: Rachel Gow killed herself over worries of turning 30 with no husband or children
 
Sio uwanja wangu huu, ngoja niendelee na shetani wangu hivihivi. Nampenda.
 
Haya mafundisho mengine yanahitaji na utashi wako pia. Nichangie kwa machache;
1. Ahadi ktk mapenzi- ahadi lazima ziwepo na si kifungo, sasa hata hao walioshika dini, hufunga ndoa bila kuwa na mahusiano? Ktk uhusiano si ndio wanahaidiana mambo mbalimbali (hapa mwanaume usipo eleza vizuri sera hukawii kuambiwa huna future).
Naweza kusema si kifungo ni bahati mbaya tu kama hayakutimia na pia hapa si ndio kuna lugha sahihi kuwa "Mungu hakukupangia kuwa naye..."

2. Ponography- umekuwa too general. Video na site zingine ni za kutoa elimu ya mapenzi (sehemu ambayo imeachwa nyuma sana na washika dini hasa ktk kuwafanya ndoa zao zidumu na kuwa imara) mfano; kuna mtu mmoja alidiriki kupreach kuwa style ya kufanya mapenzi ni kifo cha mende zingine ni dhambi...

Mungu ni mwema tumwombe hekima na busara ktk kila jambo lililopo mbele yetu.
Mada ni nzuri nimejaribu kutoa maoni juu ya yale niliyo na mtazamo tofauti.
 
Ubongo hutunza kumbukumbu za wale tuliowahi kukutana nao maisha lakini MOYO huifadhi kumbu kumbu za wale tunaowapenda maishani mwetu..kwa sababu wale tuwapendao kutoka moyoni huwa wanaishi ndani yetu katika siku zote za maisha yetu...

umenena mkuu
 
Back
Top Bottom