Sospeter Muhongo: Watu wa Tanga wavivu sana

Sospeter Muhongo: Watu wa Tanga wavivu sana

Eti kazi yao kucheza kibao kata na kukata mauno, sasa leo yeye ndo kakata mauno
 
Alimwita mengi ni dalali kumbe yeye ndio dalali mwenyewe
 
tutamkumbuka huju jamaa kwa kutoa "absolute statements" kama vile anatoa lecture ya Geology!!! Kumbe yuko kwenye siasa...maneno yake yamemrudi!
 
Profesa mzima unakuwqa dalali wa singa singa? Eti watanzania mkawekeze kwenye juice.... Nyambafu zako,,, sina tusi zuri hata la kukupa,,
 
Alisema wafanyabiashara wa Tz wao wanaweza kuwekeza kwenye juice kumbe yeye ni dalali wa singasinga. kweli professa ameumbuka

Nimeridhika wizara ya Nishati na Madini ina gundu, kwa miaka ya hivi karibuni hakuna waziri aliyetoka salama, list ni ndefu lakini naanzia kwa Daniel Yona, Ibrahim Msabaha, William Ngelaja na sasa Hon. Prof. Dr. Sospeter Muhongo. Hii siyo wizara ya kuongoza kabisa, inaweza kukuchafulia nomino na CV kama ilivyomfanya Muhongo. Kwa heri Muhongo, tutakukumbuka kwa confidence na misimamo mikali dhidi ya wazawa kama akina Mengi.
 
muhongo kibaraka wa singasinga,ukali wake anauonesha ili afiche makosa yake.anamdomo mchafu sana huyu.mwiz na dalal.
 
Nimeridhika wizara ya Nishati na Madini ina gundu, kwa miaka ya hivi karibuni hakuna waziri aliyetoka salama, list ni ndefu lakini naanzia kwa Daniel Yona, Ibrahim Msabaha, William Ngelaja na sasa Hon. Prof. Dr. Sospeter Muhongo. Hii siyo wizara ya kuongoza kabisa, inaweza kukuchafulia nomino na CV kama ilivyomfanya Muhongo. Kwa heri Muhongo, tutakukumbuka kwa confidence na misimo mikali dhidi ya wazawa kama akina Mengi.

Mkuu tatizo sio wizara, bali watu wanataka kupiga dili za chap chap na haraka kupitia wizara hiyo. Mbona Kamishna wa TRA na Gavana wa Benki Kuu walijitahidi kuonesha weledi wao katika hili sakata lakini wizaraya nishati na madini pamoja na bodi ya TANESCO waliamua kupiga dili?

Hamna gundu wala nini
 
Profesa Muhongo amenikwaza anavyocheka kwa kupuuza.hivi alikua anacheka cheka nini wakati anatuhumiwa mambo mazito.
 
Malipo ni hapa hapa duniani ..... this arrogant idiot academician cum professor alikuwa anamwita Mzee Mengi ni Dalali wa vitalu ..... tumeshuhudia LEO amebatizwa wazi wazi na mamlaka inayotunga sheria kuwa yeye ni Dalali wa Singa singa Harninder theti

what goes wrong with this professorship ... Tibaijuka, Muhongo and the like of Professor retired Lieutenant canal Dr. JK

Hell no no no
 
Back
Top Bottom