Tarime one
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 2,246
- 1,740
Naicopy kama ilivyo mnishauri before sijamjibu hizi sms za mchepuko wangu
Yaani d am so happy jana ulinifurahisha sana, sijawahi kusuguliwa hivyo yani huwezi amini hapa nilipo nahisi bado maumivu ya utamu wako nakuomba usimpe mtu utamu wangu huo miss u,
Ah sorry d nilikua nachat na rafiki yangu wa kike tulisoma nae huwa tunataniana hivyo nikakosea no ikaja kwako am sorry bby usinifikirie vibaya nakupenda, utarudi lini nimekumiss.
Mpz nijibu nijue kama umenielewa, please usinielewe vibaya darl nakupenda ukija nitakupa no yake uongee nae.
Hizi ni baadhi ya sms ambazo ninatumiwa na mchepuko wangu nilioupenda na kuuamini nashindwa nimjibu nini coz nimerejea leo asubuhi toka moro, naamini naibiwa nipeni ushauri nimjibu au niendelee kumchunia.
Yaani d am so happy jana ulinifurahisha sana, sijawahi kusuguliwa hivyo yani huwezi amini hapa nilipo nahisi bado maumivu ya utamu wako nakuomba usimpe mtu utamu wangu huo miss u,
Ah sorry d nilikua nachat na rafiki yangu wa kike tulisoma nae huwa tunataniana hivyo nikakosea no ikaja kwako am sorry bby usinifikirie vibaya nakupenda, utarudi lini nimekumiss.
Mpz nijibu nijue kama umenielewa, please usinielewe vibaya darl nakupenda ukija nitakupa no yake uongee nae.
Hizi ni baadhi ya sms ambazo ninatumiwa na mchepuko wangu nilioupenda na kuuamini nashindwa nimjibu nini coz nimerejea leo asubuhi toka moro, naamini naibiwa nipeni ushauri nimjibu au niendelee kumchunia.