Sophia Simba: Wanawake Jeshi Kubwa hang'oki CCM

Sophia Simba: Wanawake Jeshi Kubwa hang'oki CCM

Wakiondoka wote utapataje siri za adui??? hio sio rocket science ni maujanja tu ya timu EL.. mwaka huu lazima CCM waondoke watake wasitake wanalo!

Vipi wanaohamia CHADEMA?

Wao hawawezi kuwa wanetumwa kuchukua siri za upande wa pili.

Usifikirie upande mmoja tu.
 
Usituletee MIPASHO,watanzania wanataka maendeleo na sii mipasho,halafu jifunze kuandika vizuri.

Miaka 20 ofisi kuu za chadomo ni nyumba ya kupanga ya Mtei. Hayo ndiyo maendeleo mnayotaka kuleta?

Hivi mlifikiri Watanzania wote wananunulika?
 
lakini mimi nina mtizamo tofauti na huyu mama; hivi ile dhana kuachia madaraka usipokubaliana na kitu kwenye uongozi haifanyikazi huku Afrika? mimi nilitarajia baada ya sofia, emmanuel na adam kuja front kwenye media kuwa uongozi wa ccm umekiuka maadali wangetangaza kuachia nafasi ya uongozi kwenye chama na kubaki wanachama wa kawida kuisimamia kile walichokiamini. lakini nimeshangaa sana kuwaona wote hao kwenye kikao na viongozi walewale waliowapinga kwenye media. hii ni ajabu kwa kweli.
 
lakini mimi nina mtizamo tofauti na huyu mama; hivi ile dhana kuachia madaraka usipokubaliana na kitu kwenye uongozi haifanyikazi huku Afrika? mimi nilitarajia baada ya sofia, emmanuel na adam kuja front kwenye media kuwa uongozi wa ccm umekiuka maadali wangetangaza kuachia nafasi ya uongozi kwenye chama na kubaki wanachama wa kawida kuisimamia kile walichokiamini. lakini nimeshangaa sana kuwaona wote hao kwenye kikao na viongozi walewale waliowapinga kwenye media. hii ni ajabu kwa kweli.
Wote wachumia tumbo tu aka wasaka tonge.
 
Mkuu Hawa wengine tunawaomba Wachelewe kidogo kuja Chadema, Waje baada ya uchaguzi kumalizika kwa sababu Lowasa bado anawatumia kuvujisha Siri za CCM kwenda Ukawa, Sasa Wakiondoka wote Tutashindwa Kujua kinachoendelea ndani ya CCM Tunawaomba waudhulie Vikao vyote vya CCM ,Wapeani zamu kwenda kujisaidia wakiwa kwenye vikao ili kila kitakachoongelewa Wakisikie yaani wasipitwe na kitu. Safi sana Mama Sofia kwa Majibu yako mazuri.

Walikuwepo kwenye vikao na "ALIKATWA"? Kuna Siri gani tena ya kuficha?
 
Ivi ccm ilitoa wapi watu wa aina hii..disgisting
 
Ivi ccm ilitoa wapi watu wa aina hii..disgusting
 
Miaka 20 ofisi kuu za chadomo ni nyumba ya kupanga ya Mtei. Hayo ndiyo maendeleo mnayotaka kuleta?

Hivi mlifikiri Watanzania wote wananunulika?
Mkuu nani kinara wa kununua watu zaidi ya ccm?.
 
“ NAWASHNGAA watu wanaovumish maneno ya y kwmba nio mbioni kuhama CCM. Sina mpngo huo wa kuhama kwas sababu nilijiunga mwenyewe, sikuingia na mtu CCM, hivyo sina sababu ya kuhama.”


Ukinion naringa, ni kwa sababu ya CCM, sina mahala pengine pa kwenda. “ Ukiniona naringa, ni kwa sababu ya CCM. Ukiniona natamba ni kwa sababu ya CCM, Sina mahala pengine kwa kwenda”.


“Yeyote atakayeondoka CCM hatupatii msisimko wowote. Ni uhuru wake kufanya hivyo. CCM haiwezi kuteteleka kw sababu ya hao wachache wanaohama. Sisi mamilioni hatuhami, tupo imara”.


“kw nafasi yangu ya uenyekiti UWT taifa nimejipanga kuwaongoza wanawake wenzangu wote katika kuhakikikisha Dk. Magufuli anaingia ikulu chini ya Kauli mbiu yetu ya; Wanawake ni jeshi kubwa Magufuli Ikulu ni lazima”.


Hayo ni maneno ya kada mwandamizi wa chama cha mainduzi CCM aliokuwa akikanusha uvumi wa Chadema na Ukwa Juu ya Sophia Simba kuhamia Ukawa, Napenda kuwaasa chadema kuwa siasa za uvushi hazitawaingiza ikulu na badala yake zinawaondolewa credibility kwa watanzania.
Kwenye siasa masaa 12 ni mengi kufanya maamuzi, usiamini sana maneno!
 
Miaka 20 ofisi kuu za chadomo ni nyumba ya kupanga ya Mtei. Hayo ndiyo maendeleo mnayotaka kuleta?

Hivi mlifikiri Watanzania wote wananunulika?

Ni bora kubaki na hiyo ofisi ya CHADEMA iliyojengwa kwa pesa za haki,kuliko ofisi za CCM zilizojengwa kwa dhulma,ufisadi na kwa hela ya watanzania masikini.
 
Sophia Simba ni nani kwani...!? Hana lolote mbele ya UKAWA... anamji pwelepweta nini..? UKAWA, LOWASSA ndio kila kitu...

Siophia Simba wala hana hata jimbo, meaning hana influence kabisa publically... so hana effect...!!!

Lowassa, Ukawa ndio kila kitu...!!!
 
“ NAWASHNGAA watu wanaovumish maneno ya y kwmba nio mbioni kuhama CCM. Sina mpngo huo wa kuhama kwas sababu nilijiunga mwenyewe, sikuingia na mtu CCM, hivyo sina sababu ya kuhama.”


Ukinion naringa, ni kwa sababu ya CCM, sina mahala pengine pa kwenda. “ Ukiniona naringa, ni kwa sababu ya CCM. Ukiniona natamba ni kwa sababu ya CCM, Sina mahala pengine kwa kwenda”.


“Yeyote atakayeondoka CCM hatupatii msisimko wowote. Ni uhuru wake kufanya hivyo. CCM haiwezi kuteteleka kw sababu ya hao wachache wanaohama. Sisi mamilioni hatuhami, tupo imara”.


“kw nafasi yangu ya uenyekiti UWT taifa nimejipanga kuwaongoza wanawake wenzangu wote katika kuhakikikisha Dk. Magufuli anaingia ikulu chini ya Kauli mbiu yetu ya; Wanawake ni jeshi kubwa Magufuli Ikulu ni lazima”.


Hayo ni maneno ya kada mwandamizi wa chama cha mainduzi CCM aliokuwa akikanusha uvumi wa Chadema na Ukwa Juu ya Sophia Simba kuhamia Ukawa, Napenda kuwaasa chadema kuwa siasa za uvushi hazitawaingiza ikulu na badala yake zinawaondolewa credibility kwa watanzania.

Asante kwa taarifa.
 
Vipi wanaohamia CHADEMA?

Wao hawawezi kuwa wanetumwa kuchukua siri za upande wa pili.

Usifikirie upande mmoja tu.

CHADEMA hakina mikakati michafu ya siri ya kushinda uchaguzi. Kila kitu kiko wazi sana katika CHADEMA.
Tatizo liko CCM, mahali ambako goli la mkono ni mkakati wa ushindi.

Tukubali au tukutae, mamluki wa Lowassa walioko CCM ni wengi na hatari zaidi katika kuingamiza CCM. Hawa wajumbe wa kamati kuu ya CCM ambao ni Team Lowassa (Sophia Simba, Adam Kimbisa,Emanuel Nchimbi, Sadifa Juma, Gharib Bilal, Pindi Chana, Jerry Silaa) sio watu salama kabisa kwa CCM kwa sasa.
 
Watu wanaangalia ulaji ulipo kwahiyo ilikuwa ni haki yake kumshabikia kabla hajakatwa. Hilo la kubaki ccm ili awe mtoa taarifa kwa wapinzani nadhani kuna watu wanasema tu kwa kuangalia alisimamia wapi, yaani sophia aihujumu UWT kirahisi tu halafu wenye chama wamuache!!

Kuihujumu ccm ukiwa ndani ya chama ni kujitafutia matatizo, na hilo hakuna asiyelijua.
 
Hayoyote yanatokana na vijana wengi mitandaoni kupenda sifa za kijinga, atajiona wajuu kupost ugoro kiongozi wa ccm kuhamia cdm atapata sifa wakati nimijitu ya kukurupuka, mwenye kujitambua hawezi kupenda kujionesha yeye anapata taarifa sana za uongo kapost vichaa wanaongezeka tz
 
Back
Top Bottom