hiyo ya mwanaume wa shoka siikatai kwani huyo mama hujui historia yake? kuhusu uchafu wa ccm basi hata ye mchafu kwan yupo ndan ya ccm hivyo atoke ili chama kiwe kisafi
Ukifanya utafiti utaona kabisa mikutano mingi ya ccm wanawake ndo wengi. Wanawake wengi wanapiga kura kwa wingi kuliko wanaume. Kwa hiyo ili ukawa waipiku ccm lazima wafanye juhudi kuwashawishi akina mama. Tofauti na hapo wanawake wanazidi kuchotwa na ccm.....mabadiliko bado wanawake wanaipenda ccm. Fanya utafiti mdogo ongea na akina mama wadada kwanza wengi hawajui kinachoendelea na wengi huwa wajisome somei magazeti. Kwa hiyo ukawa kazi bado nzito.
Admin usiipeleke kwenye thread zingine tushare mawazo yetu kwa hili.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.