Sophia Simba: Wanawake Jeshi Kubwa hang'oki CCM

Sophia Simba: Wanawake Jeshi Kubwa hang'oki CCM

huyu mama sioni kama kuna kitu anachokijua. hata alityempa uwaziri sijajua alizingatia nini.
labda wana jamvi mnisaidie nisichokijua kwa huyu mama.
​Mie pia sioni sifa za huyu mama kuwa hata mwenyekiti wa serklia ya mtaa !!!!!!
 
hivi nyie UKAWA hiyo october mkishindwa mtaongea nini,maana kila kitu kimekuwa " ooh tusubiri oct"
 
Akiongea na akinamama ccm. Anasema Wanaosema kuna wengine watahama chama cha ccm wanajidanganya, mikakati ya wapinzani wanaijua kwani hukohuko kuna vijana wao wanawapa taarifa. Amevaa vazi limeandikwa BAKI CCM

Kuna mambo hamtaweza kuyaelewa kwa sasa ila baada ya uchaguzi wa oktoba mtakuja kuyaelewa...
 
njeeseka
attachment.php



Nimevutiwa Zaidi Ya Hilo ENEO Lililoandikwa MICHEPUKO SIYO DILI Na KIJESHI au KIJASUSI Panaitwa " The Potential Target Area ". Akhsante Sana CCM Kwa Kutuletea UUMBWAJI Huu Wa Mwenyezi Mungu AMBAO Nina Uhakika UKAWA Huwezi KUUKUTA Ng'o. Dada nifah Umeona WEZERE Hilo? Unalo Kama Hilo?
 
Last edited by a moderator:
Karata ya ccm kwa wanawake ni mgombea mwenza...nadhani wenye kupiga kura za huruma kwa mwanamke mwenzao ndio eneo lao..

Wanawake hawapendani mkuu...usishangae kura nyingi za wanawake zikaenda ukawa...mwenyekigoda anaweza dhani atachukua kura za wanawake kisa mgombea mwenza mwanamke lkn ikaja kuwa tofauti kabisa...isitoshe naona kama na yeye ni mtu wa kuropoka sana..
 
Wakati Wewe Ukijinadi Kuwa Huyu Ni Shushu Wenu Lakini Hapo Hapo Na Wewe Usijisahau Kuwa Huko Huko UKAWA Kwenu Karibia 75% Ya Viongozi Wenu Waandamizi Ni Wana UWT Wa CCM Tena WALIOTUKUKA? au Nikutajie Majina Yao Ujifiche Uvunguni Sasa Hivi?

Taja , la sivyo wewe utakuwa ni mweyekiti wa UWT !!!! unatutisha kama mjomba wako JK anavyotutisha !! hii 2015 na sio 2010 au na 2005
 
Wajameni GT hamjambo!!!!

Wanawake ni jeshi kubwa. Ni kweli na Hilo halina ubishi. Ila jeshi la kutembea ki analogia wakati tupo kwenye digital hilo sio jeshi. Nayasema haya kwa sababu zifuatazo:

Baada ya kumaliza pilika pilika za uchaguzi wa Viti maaalum ndani ya CCM, wale tuliokuwa tukifatilia kwa karibu na kutazama jumuiya yetu kwa macho matatu tumegundua UWT is a "SLEEPING GIANT".

Hivyo basi kwa kuwa Octoba ni kesho; tunaelekeza nguvu zetu kuamsha hili li giant ili tupate kura nyingi 90% za wanawake wa TZ kwenye Urais, Wabunge na Madiwani. Kura nyingi zitatuongezea viti zaidi.

Umoja wetu ndio USHINDI wetu. Hili linahusu wanachama wote waliogombea wukakosa, waliopata, waliojeruhiwa kwa namna moja au nyingine, wanachama hai, wapya na wale wanaohitaji kuamshwa, n.k. Kwa kifupi malezi yetu ni Chama mbele mtu baadae.

Baada ya Mhe Magufuli kuapishwa tutaanza mchaka mchaka wa kuliamsha li sleeping giant ki digital zaidi. Nina maana gani ninaposoma haya:-
1. Tunahitaji kui restructure, reengineer, reengage, reinforce, reorganise etc UWT
2. UWT inatakiwa kufahamu iko kwenye mfumo wa vyama vingi na sio chama kimoja
3. Wasomi wengi zaidi wanatakiwa ndani ya chama; sina maana nime ignore wasio wasomi la hasha. We need VISIONARY LEADERS
4. Mambo ya kujuana, ili mtu apigiwe kura ni aibu kubwa. oh! Huyu wifi yangu, oh! Mtoto wa dada yangu, oh! kaolewa na mwanangu nk kuwa sera ya mgombea yanatia aibu na kumdhalilisha mwanamke.
5. Yapo mengi siwezi kuyaweka hapa ila
6. Baada ya Octoba 2015 tunataka MABADILIKO ili 2017 tujipange kupata viongozi na sio bora viongozi.

WANAWAKE TUJIPANGE POPOTE ULIPO NA KAMA HUNA KADI YA UWT SASA NI WAKATI SAHIHI NENDA KWENYE KATA YAKO HAKIKISHA UMEPATA KADI NA KUILIPIA. Usiache kumshika mkono jirani yako, rafiki nk kuhakikisha nae anapata kadi. Mengine yatafata baadae.

Naomba kutoa hoja, nakaribisha contrastive criticism, kuunga mkono hoja, kuongeza nyama nk.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.

Queen Esther
 
MABADILIKO sio, unajua kauli mbiu ya mabadiliko iko wapi? UKAWAAAAAAAAAAAAA...ccm pombe ile ile, ila chupa tofauti.. Amka we mwanamke, weka list ya wabunge bora wa ccm na Upinzani hapa tuwachambue
 
Back
Top Bottom