Sophia Simba: Wanawake Jeshi Kubwa hang'oki CCM

Sophia Simba: Wanawake Jeshi Kubwa hang'oki CCM

huyu mama sioni kama kuna kitu anachokijua. hata alityempa uwaziri sijajua alizingatia nini.
labda wana jamvi mnisaidie nisichokijua kwa huyu mama.

Umejijibu vizuri mkuu, tatizo siyo yeye, hakujipa cheo.
 
Kwa kuwa kwake Mwnykt wa UWT tayari ana kiti maalum ndo mana hujamsikia akigombea. MWNYKT TAIFA WA UWT HUPEWA UBUNGE WA VITI MAALUM KWA KATIBA YAO

Hongera zake,na ndiyo sababu amemkana rafikiye haraka ili asikumbwe na MKATO...........
 
Kwa mtazamo wako huu huhitajiki kuwa ndani ya ccm, unahitajika mno huku nuruni, una mtazamo na mawazo chanya, ambayo ndani ya ccm hayawezi kupewa kipaumbele hata siku moja

Mshana Jr.
Naomba ufahamu kuwa katiba nzuri kuliko zote za wanawake kwa vyama vyote ni ya CCM. Sio kwasababu mimi ni mwana CCM najifagilia la hasha.

Tafadhali zisome zote utanielewa. Lengo la CCM ni kumkomboa mwanamke kutoka kwenye dimbwi la umasikini. Tatizo ni kushindwa kubadilika kutokana na mazingira. Tunahitaji Dira mpya, maono, mikakati nk. Bado CCM ni mahali sahihi kwa ndoto za wanawake kupambana na umasikini kutimia ktk Taifa la TZ.

Wenye kuelewa wamenielewa. Pia CCM ni wasikivu.

Queen Esther
 
Mshana Jr.
Naomba ufahamu kuwa katiba nzuri kuliko zote za wanawake kwa vyama vyote ni ya CCM. Sio kwasababu mimi ni mwana CCM najifagilia la hasha.

Tafadhali zisome zote utanielewa. Lengo la CCM ni kumkomboa mwanamke kutoka kwenye dimbwi la umasikini. Tatizo ni kushindwa kubadilika kutokana na mazingira. Tunahitaji Dira mpya, maono, mikakati nk. Bado CCM ni mahali sahihi kwa ndoto za wanawake kupambana na umasikini kutimia ktk Taifa la TZ.

Wenye kuelewa wamenielewa. Pia CCM ni wasikivu.

Queen Esther

Sina tatizo kabisa na katiba yoyote ya ccm, shida ipo kwenye matendo ya sasa hayaakisi uhalisia,
Mimi niliiacha ccm mwaka 1984, lakini kumbe afadhali mara elfu moja ile ccm niliyoiacha miaka hiyo kuliko ccm hii ya leo na idara zake zote, ccm ya leo ni jinamizi linalotisha mno
Mambo yanayofanyika ndani ya chama Mungu ndiye ajuaye na kwakweli hakuna jinsi ya kuirekebisha ccm kwasasa, huu ni ukweli mchungu
 
Sina tatizo kabisa na katiba yoyote ya ccm, shida ipo kwenye matendo ya sasa hayaakisi uhalisia,
Mimi niliiacha ccm mwaka 1984, lakini kumbe afadhali mara elfu moja ile ccm niliyoiacha miaka hiyo kuliko ccm hii ya leo na idara zake zote, ccm ya leo ni jinamizi linalotisha mno
Mambo yanayofanyika ndani ya chama Mungu ndiye ajuaye na kwakweli hakuna jinsi ya kuirekebisha ccm kwasasa, huu ni ukweli mchungu

Mshana Jr.

Imani ni kuwa hakika na mambo yatarajiwayo ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Daudi wetu TZ ni Mhe. Magufuli. Kweli yako mambo yakurekebisha na hayo atayafanya hata wengi WATASHANGAA.

Rudi CCM kabla hujastukia mambo ya sirini huko uliko.

Avae vandu va huko velonza du hethina kindu aho. Vaagha veenda kutukoma iki; herikoni kaka fumaaaa. Vethikatukome neri, Hai ombe; Mrungu eho nathi.:smile-big::smile-big:

Queen Esther
 
Kama amevaa nuo imeandikwa baki CCM ,hio ni ishara tosha kuwa jamaa wanawakimbia ,imekuwa ni aibu kwao kutumia mikutano sasa wamebuni vipeperushi ,mwaka huu lazima watajua kama kusafiri kwenda Zanzibar huendi kwa miguu.
 
" NAWASHNGAA watu wanaovumish maneno ya y kwmba nio mbioni kuhama CCM. Sina mpngo huo wa kuhama kwas sababu nilijiunga mwenyewe, sikuingia na mtu CCM, hivyo sina sababu ya kuhama."

Ukiniona naringa, ni kwa sababu ya CCM, sina mahala pengine pa kwenda. " Ukiniona naringa, ni kwa sababu ya CCM. Ukiniona natamba ni kwa sababu ya CCM, Sina mahala pengine kwa kwenda".

"Yeyote atakayeondoka CCM hatupatii msisimko wowote. Ni uhuru wake kufanya hivyo. CCM haiwezi kuteteleka kw sababu ya hao wachache wanaohama. Sisi mamilioni hatuhami, tupo imara".

"Kwa nafasi yangu ya uenyekiti UWT taifa nimejipanga kuwaongoza wanawake wenzangu wote katika kuhakikikisha Dk. Magufuli anaingia ikulu chini ya Kauli mbiu yetu ya; Wanawake ni jeshi kubwa Magufuli Ikulu ni lazima".

Hayo ni maneno ya kada mwandamizi wa chama cha mainduzi CCM aliokuwa akikanusha uvumi wa Chadema na Ukwa Juu ya Sophia Simba kuhamia Ukawa, Napenda kuwaasa chadema kuwa siasa za uvushi hazitawaingiza ikulu na badala yake zinawaondolewa credibility kwa watanzania.
 
Usituletee MIPASHO,watanzania wanataka maendeleo na sii mipasho,halafu jifunze kuandika vizuri.
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Kama haujui huyo Sophia Simba no jeshi LA Lowasa ndani ya CCM usingehangaika kupost huu ujinga, labda nikuulize kule kwenye kikao cha kamati kuu inayoendelea kule Dodoma ndani kuna wajumbe kama Nchimbi, Kimbisa na Kingunge je kikao hicho kinaweza kuongelea mikakati ya CCM juu ya UKAWA?
 
Kama haujui huyo Sophia Simba no jeshi LA Lowasa ndani ya CCM usingehangaika kupost huu ujinga, labda nikuulize kule kwenye kikao cha kamati kuu inayoendelea kule Dodoma ndani kuna wajumbe kama Nchimbi, Kimbisa na Kingunge je kikao hicho kinaweza kuongelea mikakati ya CCM juu ya UKAWA?

Kingunge sio mjumbe wa kamati kuu. Pia usisahau hao ni wanasiasa tena wa afrika wanaangalia pia maslahi yao.
 
" NAWASHNGAA watu wanaovumish maneno ya y kwmba nio mbioni kuhama CCM. Sina mpngo huo wa kuhama kwas sababu nilijiunga mwenyewe, sikuingia na mtu CCM, hivyo sina sababu ya kuhama."


Ukinion naringa, ni kwa sababu ya CCM, sina mahala pengine pa kwenda. " Ukiniona naringa, ni kwa sababu ya CCM. Ukiniona natamba ni kwa sababu ya CCM, Sina mahala pengine kwa kwenda".


"Yeyote atakayeondoka CCM hatupatii msisimko wowote. Ni uhuru wake kufanya hivyo. CCM haiwezi kuteteleka kw sababu ya hao wachache wanaohama. Sisi mamilioni hatuhami, tupo imara".


"kw nafasi yangu ya uenyekiti UWT taifa nimejipanga kuwaongoza wanawake wenzangu wote katika kuhakikikisha Dk. Magufuli anaingia ikulu chini ya Kauli mbiu yetu ya; Wanawake ni jeshi kubwa Magufuli Ikulu ni lazima".


Hayo ni maneno ya kada mwandamizi wa chama cha mainduzi CCM aliokuwa akikanusha uvumi wa Chadema na Ukwa Juu ya Sophia Simba kuhamia Ukawa, Napenda kuwaasa chadema kuwa siasa za uvushi hazitawaingiza ikulu na badala yake zinawaondolewa credibility kwa watanzania.
Mkuu Hawa wengine tunawaomba Wachelewe kidogo kuja Chadema, Waje baada ya uchaguzi kumalizika kwa sababu Lowasa bado anawatumia kuvujisha Siri za CCM kwenda Ukawa, Sasa Wakiondoka wote Tutashindwa Kujua kinachoendelea ndani ya CCM Tunawaomba waudhulie Vikao vyote vya CCM ,Wapeani zamu kwenda kujisaidia wakiwa kwenye vikao ili kila kitakachoongelewa Wakisikie yaani wasipitwe na kitu. Safi sana Mama Sofia kwa Majibu yako mazuri.
 
sophia simba na lowasa ni kama mgambo na rungu huwezi kuwatenganisha hata kidogo
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Mkuu Hawa wengine tunawaomba Wachelewe kidogo kuja Chadema, Waje baada ya uchaguzi kumalizika kwa sababu Lowasa bado anawatumia kuvujisha Siri za CCM kwenda Ukawa, Sasa Wakiondoka wote Tutashindwa Kujua kinachoendelea ndani ya CCM Tunawaomba waudhulie Vikao vyote vya CCM ,Wapeani zamu kwenda kujisaidia wakiwa kwenye vikao ili kila kitakachoongelewa Wakisikie yaani wasipitwe na kitu. Safi sana Mama Sofia kwa Majibu yako mazuri.

CCM wana kazi kubwa maana Kuna mamluki wengi wa Lowassa wamebaki CCM.Just imagine wale watu waliokuwa wanaimba tuna Imani na Lowassa.Tena.karibu wote.CCM must die
 
Wakiondoka wote utapataje siri za adui??? hio sio rocket science ni maujanja tu ya timu EL.. mwaka huu lazima CCM waondoke watake wasitake wanalo!
 
Back
Top Bottom