ANYWAY ATUDHIHIRISHIE LEO ONGEE NA WAANDISHI WA HABARI KIDHUNGU KWANINI HAKUJIELEZA NA KUOMBA KURA KAMA WENZAKE
NA KAMA BABA ALISEMA AENDE TU ASEME...
HATA HIVYO KABLA ALIKUWA ANALALAMA KUNA MTU KULE BUNGENI ALIMWAMBIA KUWA YEYE HAKUTAKIWA KUTUMA TENA FORM KWANI HAKUKUWA NA HIYO NAFASI YA KINA MAMA...
ANA AKASEMA NA NUKUU "kama kuna kitu hawa watu wanaangalia sana ni swala la gender kwa hiyo huyo aliyesema hivyo kakosea"
Ninachoona hapa kuna kina mama wengi walitaka kupeleka maombi ila kuna mtu aliwaambia kuwa hawatakiwi kwani nafasi ya wanawake ni 1 tu na niya mwenyekiti wa kina mama sooooooo waliwadanganya ili Sophia asipata upinzani?? sijui?? BABA nae....
NA KAMA BABA ALISEMA AENDE TU ASEME...
HATA HIVYO KABLA ALIKUWA ANALALAMA KUNA MTU KULE BUNGENI ALIMWAMBIA KUWA YEYE HAKUTAKIWA KUTUMA TENA FORM KWANI HAKUKUWA NA HIYO NAFASI YA KINA MAMA...
ANA AKASEMA NA NUKUU "kama kuna kitu hawa watu wanaangalia sana ni swala la gender kwa hiyo huyo aliyesema hivyo kakosea"
Ninachoona hapa kuna kina mama wengi walitaka kupeleka maombi ila kuna mtu aliwaambia kuwa hawatakiwi kwani nafasi ya wanawake ni 1 tu na niya mwenyekiti wa kina mama sooooooo waliwadanganya ili Sophia asipata upinzani?? sijui?? BABA nae....