Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,990
- 7,364
c.r.a.pnashangaa loh watoto,,lugha yake angekuwa haijui hapo kweli ningeshangaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
c.r.a.pnashangaa loh watoto,,lugha yake angekuwa haijui hapo kweli ningeshangaa
Hakuna mkalimani? Maana hata AU Kiswahili kinatumika, wasiojua kiswahili ujumbe si unawafikia kupitia kalimani?
Ataongea nini huko SADC au kiswahili nako kinatumika?
Wadau msimlaumu spika au naibu wake kwa kumwondoa sophia kujieleza wakati wa kuomba kura za sadc huyu mama hajui kiingereza kabisa kwa hiyo chama kimelinda aibu""funika kombe mwanaharamu apite""
Wadau msimlaumu spika au naibu wake kwa kumwondoa sophia kujieleza wakati wa kuomba kura za sadc huyu mama hajui kiingereza kabisa kwa hiyo chama kimelinda aibu""funika kombe mwanaharamu apite""
Labda ungefafanua zaidi nini maana ya Sophia hajui kiingereza kabisa?
Huyu mama amesoma bachelor of law (LLB) pale mlimani miaka ya 80. Sasa kama hajui kiingereza kabisa angewezaje kumaliza masomo hayo?
Naelewa huyo mama aliingia mlimani kama mature student na alikuwa ana struggle na shule lakini kama alimaliza kwa vyovyote hawezi kushindwa kiingereza cha kujieleza. Kumbuka miaka hiyo faculty ya sheria ilikuwa inachukua wanafunzi wacahcahe wenye uwezo (kama 60 kwa mwaka) na mwanafunzi akichemsha tu, ilikuwa inakuwa ngumu sana kumaliza.
Anaweza asiwe na kiingereza kizuri sana lakini sio cha kushindwa kabisa kujieleza.
Labda ungefafanua zaidi nini maana ya Sophia hajui kiingereza kabisa?
Huyu mama amesoma bachelor of law (LLB) pale mlimani miaka ya 80. Sasa kama hajui kiingereza kabisa angewezaje kumaliza masomo hayo?
Naelewa huyo mama aliingia mlimani kama mature student na alikuwa ana struggle na shule lakini kama alimaliza kwa vyovyote hawezi kushindwa kiingereza cha kujieleza. Kumbuka miaka hiyo faculty ya sheria ilikuwa inachukua wanafunzi wacahcahe wenye uwezo (kama 60 kwa mwaka) na mwanafunzi akichemsha tu, ilikuwa inakuwa ngumu sana kumaliza.
Anaweza asiwe na kiingereza kizuri sana lakini sio cha kushindwa kabisa kujieleza.
tuache ushabiki hapa,issue co kuwepo wakalimani je huyu mama is she competent kujenga na kutetea hoja mbele ya watu wenye uwezo mkubwa na katka mazingira ambayo hii lugha itakuwa haina nafasi????????????????/
Well presented, chuki binafsi zinafanya mijadala inakosa thamani!Labda ungefafanua zaidi nini maana ya Sophia hajui kiingereza kabisa?
Huyu mama amesoma bachelor of law (LLB) pale mlimani miaka ya 80. Sasa kama hajui kiingereza kabisa angewezaje kumaliza masomo hayo?
Naelewa huyo mama aliingia mlimani kama mature student na alikuwa ana struggle na shule lakini kama alimaliza kwa vyovyote hawezi kushindwa kiingereza cha kujieleza. Kumbuka miaka hiyo faculty ya sheria ilikuwa inachukua wanafunzi wacahcahe wenye uwezo (kama 60 kwa mwaka) na mwanafunzi akichemsha tu, ilikuwa inakuwa ngumu sana kumaliza.
Anaweza asiwe na kiingereza kizuri sana lakini sio cha kushindwa kabisa kujieleza.
China, Urusi, Japan wanatumia Kingereza au lugha zao kuendesha serikali?
China, Urusi, Japan wanatumia Kingereza au lugha zao kuendesha serikali?
JIbu Hili Hapa:
WATANZANIA = hutumia lugha ya Kiingereza katika masomo yote isipokuwa somo la Kiswahili, sasa kama mtu hajui Kiingereza alipataje hiyo fani au shahada?
Warusi - Hutumia Kirusi kusoma
China - Hutumia Kichina Kusoma
Japan - Hutumia KIJapani kusoma
Sasa kama sisi tunasoma kwa lugha ambayo hatuimudu tunapataje shahada zetu? Au ndiyo tunakariri tu na baada ya mtihani ndiyo kwisha. Language is very important in communication.
China, Urusi, Japan wanatumia Kingereza au lugha zao kuendesha serikali?
Wadau msimlaumu spika au naibu wake kwa kumwondoa sophia kujieleza wakati wa kuomba kura za sadc huyu mama hajui kiingereza kabisa kwa hiyo chama kimelinda aibu""funika kombe mwanaharamu apite""
Tuache Ushabiki hapa,issue co kuwepo wakalimani je huyu mama is she competent kujenga na kutetea hoja mbele ya watu wenye uwezo mkubwa na katka mazingira ambayo hii lugha itakuwa haina nafasi????????????????/
Sina uhakika kama mlimani ulipata kufika. N kama ulifika ulipaswa kujua kuwa kwa wanawake baadhi wana degree zao special kwa maprofesa(I mean, the underskirt degrees). Sishangai huyu mama akawa mmojawapo.