tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Takribani dakika kumi sasa, anatoa pongezi na shukrani. Mara Jk mara Kitwana Kondo, ngoja nieendelee kumvumilia
nilidhani ni mumewe?Kitwana Kondo.....huyu si alizaa nae huyu mama na akamfanyia kitu mbaya......huyu mama ni balaaa
mwenzetu kumbe una umeme?
Rais wa kina mama watanzania.