Hivi sofia ni waziri wa wizara gani vile? kama vile mawazo ya chooni!Ndio maana tuna kiu na Katiba mpya ili tupate mawaziri wachapakazi na watakaotumikia wananchi. Kitendo cha kukaa na kutumia muda mwingi kusifu watu badala ya kutatua kero za wananchi ni usaliti wa utawala bora. Swala siyo kusifia watu waliowahi kuwa waume zako bali siku ya leo ni saiku ya kuwakilisha bajeti yako fullstop. Mengine yasubiri urudi nyumbani kwako uongee utakavyo.