Nilimuona pia, alimtaja na Hlima Mdee ni kama alikuwa anamuonea wivu vile eti wanavaa vimini ndiyo maana vijana wanawakubali!
Sophia bwana, nae si avae kimini tucheke!!!
Akaongezea jamani tupambane na kina Halima mdeeee!???!!! huyu mama bwana, inawezekana anaelekea kudata sasa...
Unapokiri tatizo ni sehemu ya Uponyaji,
Mgonjwa wa Ukimwi lazima alikubali tatizo ili walau aweze ongeza maisha, Ni vema JK akalitambua hilo!!!!!!!!!!!!!!!!