Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,845
Nadhani wamekujua wewe ni nani si mlipaji mzuriOne day tolerance level may be acceptable Yawezekana but what about wiki nzima ? Unajaribu Daily haifanyi is it within tolerance level?
Nadhani wamekujua wewe ni nani si mlipaji mzuriOne day tolerance level may be acceptable Yawezekana but what about wiki nzima ? Unajaribu Daily haifanyi is it within tolerance level?
Au tumchangie kiroho safi kabisaNenda Lumumba pale,wanakopesha buku 7
Umepigilia nyundo penyewe hao Ni wakwepesha hoja kututoa kwenye reli na waweza kuwa wazembe wafanyakazi wa Mpesa Songesha departmentSiasa zinatokea wapi kwenye swali la YEHODAYA ? Vodacom na huduma yao ya songesha wanahusianjaje na cdm au ccm?
Kuna majukwaa ya siasa huko kwanini mambo ya katiba na siasa yasijadiliwe huko?
Anaeelewa atoe ajibu, asiyeelewa asubirie wanaoelewa watoe darasa.
Hata lift siku hizi tunapeana kwa kadi za chamaSiasa zinatokea wapi kwenye swali la YEHODAYA ? Vodacom na huduma yao ya songesha wanahusianjaje na cdm au ccm?
Kuna majukwaa ya siasa huko kwanini mambo ya katiba na siasa yasijadiliwe huko?
Anaeelewa atoe ajibu, asiyeelewa asubirie wanaoelewa watoe darasa.
Nimepokea ushauri wako kwa mikono miwili tuma namba tukusaidie ku clear deni.. Naamini hili hutalikataa.. Kusaidiana kupo hata kama tunatofautiana mitazamoHi hoja kaa nayo mbali iko just mno ya kiwango chako cha ushirikina
Inawezekana ,kuna deni ulilipa kwa mbinde sana,sasa wanaendelea kutafakariBad debtor utakuwa na kiwango Cha songesha kuwa kiwango chako cha songesha Ni kiasi hiki?
Lema anadaiwa milioni 600 wewe unadaiwa songesha ambayo unaweza kuta ni elfu 20 hadi hawakupi tena huduma.alafu unakuja hapa kujifanya mjanja kumbe kapuku tu.Sema namba tukuchangie.Hatuna roho mbaya sisi.Godbless Lema wa Chadema anadaiwa milioni 600 per speaker 's statement madeni ndio yalimkimbiza kanada alikimbia madeni ya taasisi za fedha!!!
Vipi mzee siku hizi buku saba hampati tena?Kama kichwa kinavyojieleza unakuta kiwango kinaruhusu ila ukitaka kusongesha Mpesa unakuta Mpesa inakupa samahani lukuki kuwa kwa Sasa hatuwezi songesha jaribu baadaye ha ha ha
Wewe vipi unichangie songesha ya shilingi 500 inayogoma kusongeshwa wakati Ni hela kibao za songesha? Au unadhani naongelea kusongesha mamilioni? Naongelea hata nikiwa porini kusiko vocha nataka kusongesha shilingi 500 ninunue vocha MpesaAu tumchangie kiroho safi kabisa
Kwa taarifa yako sidaiwi na songesha hata MiaLema anadaiwa milioni 600 wewe unadaiwa songesha ambayo unaweza kuta ni elfu 20 hadi hawakupi tena huduma.alafu unakuja hapa kujifanya mjanja kumbe kapuku tu.Sema namba tukuchangie.Hatuna roho mbaya sisi.
Kukopa kwenye simu ni hatua ya mwisho ya kuchoka!Kumbe ccm nao maisha magumu hadi mnakopaa?
Jibu Ni Kwamba aende Lumumba watampa hio pesa anayohitaji.Siasa zinatokea wapi kwenye swali la YEHODAYA ? Vodacom na huduma yao ya songesha wanahusianjaje na cdm au ccm?
Kuna majukwaa ya siasa huko kwanini mambo ya katiba na siasa yasijadiliwe huko?
Anaeelewa atoe ajibu, asiyeelewa asubirie wanaoelewa watoe darasa.
Labda nichangie kumtandika makofi.Au tumchangie kiroho safi kabisa
500!? Kiroho safi kabisa naomba nikutumie 10 usiwe unapata shida ya kusongeshaWewe vipi unichangie songesha ya shilingi 500 inayogoma kusongeshwa wakati Ni hela kibao za songesha? Au unadhani naongelea kusongesha mamilioni? Naongelea hata nikiwa porini kusiko vocha nataka kusongesha shilingi 500 ninunue vocha Mpesa
Toa namba tukusaidie Mimi naanza na elfu 5Kwa taarifa yako sidaiwi na songesha hata Mia
A foe in need...! uadui pembeni..!Labda nichangie kumtandika makofi.
Mimi 10Toa namba tukusaidie Mimi naanza na elfu 5
Hoo mguu ni wako? Nje yq mada.Kuna muda inakua inaelemewa, miamala ya kukamilisha inakua mingi wanashindwa kumudu, mara nyingi hua asubuhi mida ya saa mbili, kuna mida ya jioni na usiku kuanzia saa mbili kasoro mpaka saa mbili na nusu changamoto hio ndo ipo sana