The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,872
Hata lift siku hizi tunapeana kwa kadi za chama
Na sie tusiokua na kadi za chama inakuaje mkuu? Vyama havitufanyi tusiwe binadam na kutupotezea utu.
Hata lift siku hizi tunapeana kwa kadi za chama
Ukibaguliwa na wewe baguaNa sie tusiokua na kadi za chama inakuaje mkuu? Vyama havitufanyi tusiwe binadam na kutupotezea utu.
Sio kila mtu ana hulka ya ubaguzi.Ukibaguliwa na wewe bagua
One day tolerance level may be acceptable Yawezekana but what about wiki nzima ? Unajaribu Daily haifanyi is it within tolerance level?
Na mguu tutajadili saa ngapi mkuu?tujadili ya ndani ya mada kwanza
One day tolerance level may be acceptable Yawezekana but what about wiki nzima ? Unajaribu Daily haifanyi is it within tolerance level?
Sasa Mkuu unamcheka Lema kudaiwa 600m na wewe kulalamika songesha hawajakupa mkopo ununue bando ya elfu tatu...Godbless Lema wa Chadema anadaiwa milioni 600 per speaker 's statement madeni ndio yalimkimbiza kanada alikimbia madeni ya taasisi za fedha!!!
Ahahahahaaa...!! Hiyo mida, kwa asubuhi ni wale wa kulipa madeni ya jana na wa usiku ni wale wa hela imekata wakiwa BARKuna muda inakua inaelemewa, miamala ya kukamilisha inakua mingi wanashindwa kumudu, mara nyingi hua asubuhi mida ya saa mbili, kuna mida ya jioni na usiku kuanzia saa mbili kasoro mpaka saa mbili na nusu changamoto hio ndo ipo sana
Ahahahahaaa...!! Hiyo mida, kwa asubuhi ni wale wa kulipa madeni ya jana na wa usiku ni wale wa hela imekata wakiwa BAR