Mhh sio kwmaba mkopo huwa ni asilimia 10? Laki moja riba yake ni elfu 10 , au ni kwenye hisa zetu tunachanganya?Lakini huwezi linganisha na kausha damu wa mitaani ambao ukichukua laki moja wanataka uwape laki moja na 40 ndani ya mwezi mmoja
Kausha damu huko mitaani hawazingatti hizo sheria mkuu,kumbuka wewe ndo mwenye shida. Mimi nkikwama kabisa ni bora nibebe zangu Huko kwenye simu..Tigo nivushe naweza kubeba hyo AmountMhh sio kwmaba mkopo huwa ni asilimia 10? Laki moja riba yake ni elfu 10 , au ni kwenye hisa zetu tunachanganya?
Tigo huwa wanakopesha zaidi kuliko voda! Voda the moment umesongeaha ndio utakapoanz akujuta kuna makato ya kila siku na riba zake kila unavyochelewa riba inapanda😅 unakopa laki in few weeks unajikuta umelipa 130! Mi najikopea zangu kwenye hisa tu nalipa taratibu mwaka mzima! Sema usizidishe mikopo tu bora ukope sehemu moja au mbili zikizidi unakuwa na hasira hasira tu muda wote🥹Kausha damu huko mitaani hawazingatti hizo sheria mkuu,kumbuka wewe ndo mwenye shida. Mimi nkikwama kabisa ni bora nibebe zangu Huko kwenye simu..Tigo nivushe naweza kubeba hyo Amount
View attachment 3556304
Huku kwetu Kenya hii inaitwa FULIZA 😅😀 SOS ya Voda! Matajiri hamuijui hii.. Ukiishiwa Mpesa wanakukopesha
Safi sana hatua nzuriKausha damu huko mitaani hawazingatti hizo sheria mkuu,kumbuka wewe ndo mwenye shida. Mimi nkikwama kabisa ni bora nibebe zangu Huko kwenye simu..Tigo nivushe naweza kubeba hyo Amount
View attachment 3556304
Wana ile huduma ya mpawa ile sio powa riba kubwa sanaTigo huwa wanakopesha zaidi kuliko voda! Voda the moment umesongeaha ndio utakapoanz akujuta kuna makato ya kila siku na riba zake kila unavyochelewa riba inapanda😅 unakopa laki in few weeks unajikuta umelipa 130! Mi najikopea zangu kwenye hisa tu nalipa taratibu mwaka mzima! Sema usizidishe mikopo tu bora ukope sehemu moja au mbili zikizidi unakuwa na hasira hasira tu muda wote🥹
Hivi inakuaje mtu unakopa vipesa vidogo hivyo?kwa nini usijilipue tu ukope mapesa mengi then uingie mitini?Lakini huwezi linganisha na kausha damu wa mitaani ambao ukichukua laki moja wanataka uwape laki moja na 40 ndani ya mwezi mmoja
Mpawa sikuhizi ina riba? Bora mgodi wanakopesha na hakuna riba! Ila ndio ukikaa muda mrefu wanakukata ukiweka tu pesa, kuna siku nilikatwa kama nilie na nilikuwa natakiwa kufanyia kitu ile pesa🤦🏽♀️Wqna ile huduma ya mpawa ile sio powa riba kubwa sana
migodiMpawa sikuhizi ina riba? Bora mgodi wanakopesha na hakuna riba! Ila ndio ukikaa muda mrefu wanakukata ukiweka tu pesa, kuna siku nilikatwa kama nilie na nilikuwa natakiwa kufanyia kitu ile pesa🤦🏽♀️
Mgodimigodi
okMgodi
Pole ila hii iliwahi kunikuta na mie nilipiga yowee kuna mwana nilimwambia anirushie elfu 40 yote ilipigwa panga shwaaaMpawa sikuhizi ina riba? Bora mgodi wanakopesha na hakuna riba! Ila ndio ukikaa muda mrefu wanakukata ukiweka tu pesa, kuna siku nilikatwa kama nilie na nilikuwa natakiwa kufanyia kitu ile pesa🤦🏽♀️
Sasa mimi ilikiwa 150 halafu ilikuwa ya kununua umeme kazini nilikoma sitosahau😂Pole ila hii iliwahi kunikuta na mie nilipiga yowee kuna mwana nilimwambia anirushie elfu 40 yote ilipigwa panga shwaaa