Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,196
- 79,640
Dah! pole sanaSasa mimi ilikiwa 150 halafu ilikuwa ya kununua umeme kazini nilikoma sitosahau😂
Dah! pole sanaSasa mimi ilikiwa 150 halafu ilikuwa ya kununua umeme kazini nilikoma sitosahau😂
Kuna Mgodi ndio balaa kabisa nilidrema hawatanipata tena kabisaa unaomba lak 2 unapewa lk60 arobain nzima hakuna pyuuuWana ile huduma ya mpawa ile sio powa riba kubwa sana
Jamaa miyeyusho sanaKuna Mgodi ndio balaa kabisa nilidrema hawatanipata tena kabisaa unaomba lak 2 unapewa lk60 arobain nzima hakuna pyuuu