Nilikutana na pombe inayotengenezwa kwa maembe pori(ng'ongo),ukinywa leo usiku kesho yake ukinywa chai au ukiota moto unalewa upyaaaa,Chipole hiyo.
Koto kuvakonga vandu.....
dadi mbelele na mbasa vipatikana zaidi kunyanja,kumwambao wa ziwa nyasa.nee na mwana wa palochi,nilili sana mbelele na mbasa kulituhi.:becky:ukosiwi mbelele na mbasa na ugali wa mayau au wachimela
Nahisi atakuwa Litapwasi
angoni arms sasa hivi imepoteza umaarufu halafu imechoka sana ila lami saiv zipo sehem nyingi za mji,shule ya mfaranyaki ipo ila imegawanywa upande mmoja ni mfaranyaki primary na upande mwingine ni kawawa primary school.....picha nitatuma mkuu uione shule yako