kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 7,756
- 14,462
nimemiss kuhongana akanono!!
Tatizo kubwa la watu wa Songea wenye elimu na wasio na elimu ni malimbukeni. 90% wamezarau kwao kwa hiyo wanaume kwa wanawake wote wanaolewa sehemu nyingine na hii ni laana ilianzia kwa kina Kawawa. Mngoni ni mtu wa ajabu sana wengi hawajielewi tunawaona kila siku wanapoowa huwa wanakabidhiwa viwanja vya kujenga na baba Mkwe. Kisa kapata kaunafuu flani ka maisha baada ya kusomeshwa kwa taabu na wazazi wake masikini. Hata ww uliyeleta mada hii inawezekana ni walewale.
Nilikutana na pombe inayotengenezwa kwa maembe pori(ng'ongo),ukinywa leo usiku kesho yake ukinywa chai au ukiota moto unalewa upyaaaa,Chipole hiyo.
Karibuni Songea Mji wakitalii
1. Kuna matuta makubwa ya barabarani tanzania nzima (bumps) yapo bombambili ambapo kabla ya
kufika Songea mjini lazima ukutane nayo.
2. Kuna pikipiki nyingi kuliko watu.
3. Kuna matunda mengi ya kipekee kama madonga, masuku, mfudu, mbula, mamvubula na mengine mengi.
4. Kuna mboga nyingi za kipekee kama Mangaukau, linamfusulela, chikandi, likungu, kipele,
mangatungu n.k
5. Majina mengi ya watu wake ni ya wanyama mfano Komba, mapunda, mbawala, tembo,
simba (Kahimba), Nungu, Nyoka, Matembo, Ngonyani, Nyati, Kobe n.k
6. Pia kuna ngoma nyingi mf. Madogoli, beta, zilanga, ligambusa, kihoda, mganda, lindeku,
Mandilo, Chomanga, Tumba, Puyanga.
7. Bila kusahau Dagaa watamu sana (Nyasa) na viazi vitamu kuliko vyote vinavyojulikana kwa jina
la makaba.
Hiyo ndiyo SONGEA yetu, Mji uliobarikiwa, Chezea Songea yetu weye.
mimi nipo ligera naelekea lusewa kwa mzee wangu wa siku nyingi Ali Chitenje. nikirudi nafikia mgombasi na mtimbati maji kula mandondo
maprof wapo niwajuao ni prof. Mpangala na prof. Mihanjo, tangiblyninapotaka mimi ni hapo tu,ninapotaka mimi ni hapo tu,iiiiiiii,hapo ndio,umepataka mwenyewe?hapo ndio,wangoni tuseketule,seketu sekeketu seketu.....................hao,watani wangu wangoni.hivi kuna prof,ni mngoni,na kama wapo,wapo wangapi?
umesahau kuutaja mto lumbegea maji meupee mwaka mzima.karibuni songea mji wa kitalii:
1. Kuna matuta makubwa ya barabarani tanzania nzima (bumps) yapo bombambili ambapo kabla ya
kufika songea mjini lazima ukutane nayo.
2. Kuna pikipiki nyingi kuliko watu.
3. Kuna matunda mengi ya kipekee kama madonga, masuku, mfudu, mbula, mamvubula na mengine mengi.
4. Kuna mboga nyingi za kipekee kama mangaukau, linamfusulela, chikandi, likungu, kipele,
mangatungu n.k.
5. Majina mengi ya watu wake ni ya wanyama mfano komba, mapunda, mbawala, tembo,
simba (kahimba), nungu, nyoka, matembo, ngonyani, nyati, kobe n.k.
6. Pia kuna ngoma nyingi mf. Madogoli, beta, zilanga, ligambusa, kihoda, mganda, lindeku,
mandilo, chomanga, tumba, puyanga.
7. Bila kusahau dagaa watamu sana (nyasa) na viazi vitamu kuliko vyote vinavyojulikana kwa jina
la makaba.
Hiyo ndiyo songea yetu, mji uliobarikiwa, chezea songea yetu weye.
kwenye ngoma ushakunywa pombe inayoitwa yaukwaya....dizani inapikwa kwa mihogonahimisi songea ila nahimisi sana tunduru!!! Kila nikikumbuka ngoma ya chitoto na tomatoma enzi hizo nikiwa mdogo kabisa miaka ya 90...machozi yananitoka. Daah i miss my home town ruvuma.
maprof wapo niwajuao ni prof. Mpangala na prof. Mihanjo, tangibly
Prof. Mbele, Prof. Haule, Prof. Mbunda, Prof. Nditti, Prof. Prof. Turuka, Prof. Luoga, Prof. Mbawala, Prof. Komba na qengine wengiii....songea ndio mpango mzima.
Tatizo kubwa la watu wa Songea wenye elimu na wasio na elimu ni malimbukeni. 90% wamezarau kwao kwa hiyo wanaume kwa wanawake wote wanaolewa sehemu nyingine na hii ni laana ilianzia kwa kina Kawawa. Mngoni ni mtu wa ajabu sana wengi hawajielewi tunawaona kila siku wanapoowa huwa wanakabidhiwa viwanja vya kujenga na baba Mkwe. Kisa kapata kaunafuu flani ka maisha baada ya kusomeshwa kwa taabu na wazazi wake masikini. Hata ww uliyeleta mada hii inawezekana ni walewale.