ijoz
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 731
- 718
Hapo kwenye kutafuta change ya elfu 10 saa nzima mh...!mji ambao ukiwa na not ya sh.10000 ukaenda sokoni kununua kitu, change itatafutwa saa nzima. yaani ukiwa na sh.elfu kumi wewe ndio tajiri. ukienda kusalimia wazee lazima uende na sukari usipobeba sukari ww huna maana tena utasikia wakilalamika "yaani anakuja bila hata kilo ya sukari, amekuja kufanya nini sasa" yaani kule kwetu sukari ni anasa.
Kuna walakini...