Karibuni Songea Mji wa kitalii:
1. Kuna matuta makubwa ya barabarani Tanzania nzima (bumps) yapo bombambili ambapo kabla ya
kufika Songea mjini lazima ukutane nayo.
2. Kuna pikipiki nyingi kuliko watu.
3. Kuna matunda mengi ya kipekee kama madonga, masuku, mfudu, mbula, mamvubula na mengine mengi.
4. Kuna mboga nyingi za kipekee kama Mangaukau, linamfusulela, chikandi, likungu, kipele,
mangatungu n.k.
5. Majina mengi ya watu wake ni ya wanyama mfano Komba, Mapunda, Mbawala, Tembo,
simba (Kahimba), Nungu, Nyoka, Matembo, Ngonyani, Nyati, Kobe n.k.
6. Pia kuna ngoma nyingi mf. Madogoli, beta, zilanga, ligambusa, kihoda, mganda, lindeku,
Mandilo, Chomanga, Tumba, Puyanga.
7. Bila kusahau Dagaa watamu sana (Nyasa) na viazi vitamu kuliko vyote vinavyojulikana kwa jina
la makaba.
Hiyo ndiyo SONGEA yetu, Mji uliobarikiwa, Chezea Songea yetu weye.
1. Kuna matuta makubwa ya barabarani Tanzania nzima (bumps) yapo bombambili ambapo kabla ya
kufika Songea mjini lazima ukutane nayo.
2. Kuna pikipiki nyingi kuliko watu.
3. Kuna matunda mengi ya kipekee kama madonga, masuku, mfudu, mbula, mamvubula na mengine mengi.
4. Kuna mboga nyingi za kipekee kama Mangaukau, linamfusulela, chikandi, likungu, kipele,
mangatungu n.k.
5. Majina mengi ya watu wake ni ya wanyama mfano Komba, Mapunda, Mbawala, Tembo,
simba (Kahimba), Nungu, Nyoka, Matembo, Ngonyani, Nyati, Kobe n.k.
6. Pia kuna ngoma nyingi mf. Madogoli, beta, zilanga, ligambusa, kihoda, mganda, lindeku,
Mandilo, Chomanga, Tumba, Puyanga.
7. Bila kusahau Dagaa watamu sana (Nyasa) na viazi vitamu kuliko vyote vinavyojulikana kwa jina
la makaba.
Hiyo ndiyo SONGEA yetu, Mji uliobarikiwa, Chezea Songea yetu weye.