Hiyo ramani yako ni potofuMkuu nikipata taarifa nitakujuza.
Ni lake Nyasa sio lake Malawi na mpaka wa Tanzania na Malawi unapita katikati ya ziwa
Au wewe ni mnyasa wa Malawi?
Hiyo ramani yako ni potofuMkuu nikipata taarifa nitakujuza.
UjanjaujanjaSi tuliambiwa ndege zimenunuliwa, tusafiri kwa ndege tufike mapema.....imekuwaje tena safari ya masaa 24.
huko lindi sio njia kabisa.. unaingia Songea saa 6 usiku kama unatoka Kigoma bwanaKule hakuna foleni kama njia ya huku kati.
Unawahi kufika.
Akili zako ziko matakoni, hivi unafikiri nchi zilizo na ndege na train za kasi za umeme hawatumii mabasi pia???Si tuliambiwa ndege zimenunuliwa, tusafiri kwa ndege tufike mapema.....imekuwaje tena safari ya masaa 24.
Kwa avatar name yako sipaswi kubishana nawe, ushazeeka so endelea kukariri huku jua likizama.Hiyo ramani yako ni potofu
Ni lake Nyasa sio lake Malawi na mpaka wa Tanzania na Malawi unapita katikati ya ziwa
Au wewe ni mnyasa wa Malawi?
songea to moshi bado lipo?Mbamba bay to dar
Mbamba bay to kyela
Songea to mwanza
Songea to moshi
Mambo ni moto
Za kwako ziko kwenye kinyeo, ni wapi nimesema hawatumii mabasi pia...........Akili zako ziko matakoni, hivi unafikiri nchi zilizo na ndege na train za kasi za umeme hawatumii mabasi pia???
Akili zako ziko matakoni, hivi unafikiri nchi zilizo na ndege na train za kasi za umeme hawatumii mabasi pia???
Please nawaomba tujadili kiutu uzima hizo mambo za matusi muwaachie wasio na akili timilifu.Za kwako ziko kwenye kinyeo, ni wapi nimesema hawatumii mabasi pia...........