TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,744
- 21,191
Hakika ubora wa miundombinu ya barabara ikiwa mizuri hakuna kinachoshindikana.
Muda huu ni saa 22:30 basi la kampuni ya Super Feo limeondoka Singida kuelekea Jiji la miamba Mwanza.
Wale wadau wa usafirishaji mnaionaje na imekaaje hii..?
🧠Yule anayetaka kujua umbali kwa mfumo wa picha nadhani hii ramani itakusaidia.
Zoom and fetch area you want.
Muda huu ni saa 22:30 basi la kampuni ya Super Feo limeondoka Singida kuelekea Jiji la miamba Mwanza.
Wale wadau wa usafirishaji mnaionaje na imekaaje hii..?
🧠Yule anayetaka kujua umbali kwa mfumo wa picha nadhani hii ramani itakusaidia.
Zoom and fetch area you want.