Midnight
JF-Expert Member
- Apr 24, 2021
- 229
- 678
Sawa. Niwie radhi mkuu, nilikuwa na ndugu konyagi kichwani.Wewe ndiyo unatooa nje ya mada kabisa aseee...!, Hebu fuatilia kwa umakini uelewe alichoandika.
Sawa. Niwie radhi mkuu, nilikuwa na ndugu konyagi kichwani.Wewe ndiyo unatooa nje ya mada kabisa aseee...!, Hebu fuatilia kwa umakini uelewe alichoandika.
Kuna mtwara to dodoma gari linaitwa barakaHivi kuna basi lifanyalo route ya Mtwara <> Kagera (Bukoba)?
Kwani ni lazima?Si tuliambiwa ndege zimenunuliwa, tusafiri kwa ndege tufike mapema.....imekuwaje tena safari ya masaa 24.
mkuu wenzako wanachepukia dodoma kwenda upande ule dar wafate nini mikoa ya iringa njombe mbeya ruvuma kuna fursa sana watu wamehamia upande huoSongea mwanza via dar haiwezi kuwa biashara viable , tayari ana basi za songea dar , na kuna ushindani mkubwa sana dar mwanza
Hukunielewa vizuri , nilichmaanisha ndio hicho ulichokisemamkuu wenzako wanachepukia dodoma kwenda upande ule dar wafate nini mikoa ya iringa njombe mbeya ruvuma kuna fursa sana watu wamehamia upande huo
Umenikumbusha enzi niko msalato,ilikuwa inanibidi mpka nifike dar ndo niende songea. Niliona wivu sana baada ya kumaliza shule naona et dodoma - songea, naipenda sana super feo kwanza wanajari wateja. Siku izi nimesafiri sana na selous kutoka mbeya to tunduruSuper feo ni habari nyingine ana uthubutu kaanzisha route nyingi sana afu wengine wanafuata nakumbuka kipindi nasoma Dodoma nilikuwa napata shida kuunganisha magari kwenda home Mbinga kama kupitia Morogoro au Iringa then nipate gari ya Songea ila mbabe akatuanzisha route ya mojamoja toka Dom mpata Songea town ndipo wengine wakaona fursa.
hata ulaya wanasafiri na mabasiNi mwendo wa shida tu afrika..unakaa kwenye bodi masaa 20
.Mbamba bay to dar
Mbamba bay to kyela
Songea to mwanza
Songea to moshi
Mambo ni moto
Tabora songea kaanza lini?
Yaani dar songea chuma iliingia saa mbili hadi mbinga ni saa nne na nusu,,,,,wakati dar mbinga inaingia saa 7/8 super feo now wapo vizuriSongea to Moshi Ile DWR n nyoko nilikuwa maeneo flan Arusha mida ya saa tano usiku naona kitu Super Feo hcho kwa ukali baada ya Kama dk 20 naona Kimotco ya Njombe hyoo nikajiuliza Sasa huyu kachaniwa wap wakati kwanza safari 200km Zaid kabla ya Super Feo njian DWR inaumwaga Sana.
Wanataka waanze,wanasikiliza maoni ya wadau waanze na route ipi kati ya hizo hapoTabora songea kaanza lini?
Dar Songea ukipitia njia ya huku kusini Lindi /mtwara sio mbali sana na hakuna msongamano wa magari kama ukipitia hii ya kati, moro,iringa, njombe.Yaani dar songea chuma iliingia saa mbili hadi mbinga ni saa nne na nusu,,,,,wakati dar mbinga inaingia saa 7/8 super feo now wapo vizuri
Ukipita lindi kwenda songea ni mbali zaidi kwani zinaongezeka kilometer kalibia 100 tofauti na njia ya iringa. Sema njia ya lindi ni tambalale milima unakuja kuikuta mchomoro huko wilaya ya namtumboDar Songea ukipitia njia ya huku kusini Lindi /mtwara sio mbali sana na hakuna msongamano wa magari kama ukipitia hii ya kati, moro,iringa, njombe.
Kule hakuna foleni kama njia ya huku kati.Ukipita lindi kwenda songea ni mbali zaidi kwani zinaongezeka kilometer kalibia 100 tofauti na njia ya iringa. Sema njia ya lindi ni tambalale milima unakuja kuikuta mchomoro huko wilaya ya namtumbo
Namtumbo- Sumbawanga,pia akiweza aweke Sumbawanga-Dodoma na Mbeya-Mpanda-Kigoma.
Ni sahihi, hata maofisa usalama barabarani si wengi kama ile ya iringaKule hakuna foleni kama njia ya huku kati.
Unawahi kufika.
Huku kidogo kuna ka uhuru flani hivi.Ni sahihi, hata maofisa usalama barabarani si wengi kama ile ya iringa