Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,939
- 147,784
Looooh,poleKwakusini hakuna kama masasi
Looooh,poleKwakusini hakuna kama masasi
Looooh,Kahamia masasi hapataki tena songea
Ushasema Mji ni mdogo na watu wachache na mzunguko wa hela mdogo sasa wewe uza bei juu utamuuzia Bibi yakoNoma sana yaani kule ndo maana halisi ya bei chini ukikaa pale mjini utaenjoi sana kama una kazi ya uhakika.
Wapo humu ingia Love Connect andika Bango moja tu PM yako itajaaNikipata mwanamke wa kuoa kule itakua poa sana.
Aisee hakuna kitu kama hichoDawa ya kutoa hio ardhi nyekundu pawe kama Dsm ni nini?