Fanya hivyo na Mungu atakubariki 😂Nilitaka kupiga picha kile nafanya sasa au basi
Nilikuwa niko nakula Huyu Mbuzi katoliki na ilikuwa fire sanaaFanya hivyo na Mungu atakubariki 😂
Kwahiyo unauzunzumziaje mzinguko wa pesa songea?Masasi huwa napita sijawahi kuishi hivyo sina la kusema
Ok,nitakwenda na mkongo aina mbili,ya kupaka na spray 😀😀Uwe na pulling mzee ,wanawake wa kingoni Ngono ni tendo la heshima,wanaheshimu sana hivyo ukipewa uwe na msuli wa kusugua.
Wana maajabu?Uwe na pulling mzee ,wanawake wa kingoni Ngono ni tendo la heshima,wanaheshimu sana hivyo ukipewa uwe na msuli wa kusugua.
nilikuwa pale mwaka 2015. Mungu akipenda nitafika tena siku moja. Nilipapenda.Habari wakuu.
Ni miaka 5 sasa imepita tangu mara ya mwisho kuwepo katika mji wa Songea,ukweli ni moja ya miji midogo Tanzania ambao ulinivutia sana na kupenda maisha ya pale. Nimewahi ishi miji kadhaa kwa nyakati tofauti kama Mtwara mjini,Mafinga mjini,Njombe mjini,Mbeya Mjini,Tanga mjini nk. Ila songea ni miongoni mwa mji wa pekee niliopenda sio kwa majengo bali aina ya maisha ya pale.
1. Mji umepoa hakuna vurugu
2. Vyakula bei chee sana tena vingi vya asili
3. Kodi ya pango bei kitonga mno
4. Hali ya hewa sio baridi wala sio joto
5. Kuna mazao mengi ya biashara ukiwa mchakarikaji unapata cha kufanya(nimewahi uza dagaa nyasa).
6. Wenyeji wakarimu na wanapiga kazi sio wavivu kama Tanga,Mtwara.
7. Watu wa Songea wana heshima sana sio mtoto wala mkubwa.
8. Safari yake ina advanture kubwa na inavutia.
Madhaifu
1. Mji bado mdogo hauna maendeleo ya majengo mazuri
2. Sehemu ya starehe chache
3. Mzunguko wa hela kwa mjini mdogo ila ukiwa unasafirisha bidhaa utapata pesa.
4. Kuna vumbi sana
5. Nyumba nyingi ni chakavu sana
Waliokuwa Songea wekeni comment hapo je kwasasa mji upo vipi?
Masasi nakubali sana Nyama choma pale uwanja wa fisi Nyuma ya Stand kuu Mabasi. Pia ule mji ni kama uko Pwani samaki kama wote Changu, vibua, Pweza..Kwakusini hakuna kama masasi
Mgosi, umefika Lushoto?Habari wakuu.
Ni miaka 5 sasa imepita tangu mara ya mwisho kuwepo katika mji wa Songea,ukweli ni moja ya miji midogo Tanzania ambao ulinivutia sana na kupenda maisha ya pale. Nimewahi ishi miji kadhaa kwa nyakati tofauti kama Mtwara mjini,Mafinga mjini,Njombe mjini,Mbeya Mjini,Tanga mjini nk. Ila songea ni miongoni mwa mji wa pekee niliopenda sio kwa majengo bali aina ya maisha ya pale.
1. Mji umepoa hakuna vurugu
2. Vyakula bei chee sana tena vingi vya asili
3. Kodi ya pango bei kitonga mno
4. Hali ya hewa sio baridi wala sio joto
5. Kuna mazao mengi ya biashara ukiwa mchakarikaji unapata cha kufanya(nimewahi uza dagaa nyasa).
6. Wenyeji wakarimu na wanapiga kazi sio wavivu kama Tanga,Mtwara.
7. Watu wa Songea wana heshima sana sio mtoto wala mkubwa.
8. Safari yake ina advanture kubwa na inavutia.
Madhaifu
1. Mji bado mdogo hauna maendeleo ya majengo mazuri
2. Sehemu ya starehe chache
3. Mzunguko wa hela kwa mjini mdogo ila ukiwa unasafirisha bidhaa utapata pesa.
4. Kuna vumbi sana
5. Nyumba nyingi ni chakavu sana
Waliokuwa Songea wekeni comment hapo je kwasasa mji upo vipi?
Masai you eat meat at your own risk 😂Masasi nakubali sana Nyama choma pale uwanja wa fisi Nyuma ya Stand kuu Mabasi. Pia ule mji ni kama uko Pwani samaki kama wote Changu, vibua, Pweza..
Ohhhh Masasi kuchele😁
Songea Kuna baridi mkuu yawezekana kipind ulichoenda ulikuwa msimu wa baridi umeisha.. Unapotaja kote ni nyanda za juu kusini kunakuzidiana barid ila sio kwamba Songea hakuna baridi fanya research yako tenaSongea mjini ,huwezi kusema kuna baridi kama umewahi ishi Njombe,mafinga au iringa mjini na mbeya