Songea: Makanisa mawili yateketezwa kwa moto

Dahh haya mambo yanarudi kwa kasi sana maana tulishaanza kuyasahau
 
Amwehu Akbar....makafiri mchomewe makanisa yenu yote mpaka yaishe....jumapili mnatupigiaga kelele sana Na mispika yenu
 
Shule za kiislam zimechomwa mara ngapi?

Mbona ukristo haukuwahi kuhisiwa?

Ni bora kukaa kimya wakati ambao unakuwa umetawaliwa na hisia.

Bahati mbaya sana unakuta hata vyombo vya dola vina watu wenye kuwaza kama wewe.

Hakika bado tuna safari ndefu.
Ingechomwa misikiti tungeshangaa Na kusema Ni wakristo lakini shule?? Wewe hujui ilmu Dunya Ni Haram?
 
Makanisa mawili ya Pentekoste Tanzania (KLPT) na Tanzania Calvary Tabelinacle Church katika kata ya Mshangano wilayani Songea mkoani Ruvuma yamechomwa moto na kuzua taharuki na wasiwasi miongoni mwa wananchi.

Tumezungumza kwa njia ya simu na Kamanda wa Polisi wa mkoani Ruvuma ACP Joseph Konyo amesema wanamshikilia mtu mmoja kutokana na tukio hilo.


ITV
 
Back
Top Bottom