Pumbavu zako huna adabu kabisa.wavaa misuli na baibui tabu tu majini yamewatuma
Jamaa kataja Dini yoyote kwni?Hilo ndiyo tatizo, akiombwa ushahidi sijui atajibu nini
Ingechomwa misikiti tungeshangaa Na kusema Ni wakristo lakini shule?? Wewe hujui ilmu Dunya Ni Haram?Shule za kiislam zimechomwa mara ngapi?
Mbona ukristo haukuwahi kuhisiwa?
Ni bora kukaa kimya wakati ambao unakuwa umetawaliwa na hisia.
Bahati mbaya sana unakuta hata vyombo vya dola vina watu wenye kuwaza kama wewe.
Hakika bado tuna safari ndefu.
Na ninayo kweli furushi zima.🤣Watakuja hapa wakwambie una mapepo mkuu.