Msomba Baraka Member Feb 22, 2017 72 35 Mar 28, 2017 #1 Sambaza links tukumbushane magumu na mazuri tuliyopitia pale Class of 2013 - 2015
mfungua mafundo Senior Member Dec 19, 2012 121 74 Mar 28, 2017 #4 Mayao Maisha ya box 2 yalikuwa safi sana.
okyo JF-Expert Member Mar 16, 2013 2,003 1,507 Mar 28, 2017 #5 Duh nimepita hapo 2004- 2007 hahaa nimejifunza mengi sana iyo shule
okyo JF-Expert Member Mar 16, 2013 2,003 1,507 Mar 28, 2017 #6 Mayai Milango Tisa Binti bullu Madishi Bila kusahau wanyama(chawa )hahaa
Tarakilishi JF-Expert Member May 19, 2013 2,181 2,448 Mar 28, 2017 #9 Wazee wa Shadufu.... 2006 hadi 2008 Al level
okyo JF-Expert Member Mar 16, 2013 2,003 1,507 Mar 28, 2017 #10 Maji yalikuwaga shida kipindi flan shadufu imekufa tunaenda chota maji mtoni yanavyura dah yale maisha aseh Mayao tulikuwa tu nanunua sh 10 sahani ya wali 250/= Nimeenda sana bustani chunga sana ng'ombe tulikuwa tunaenda na chupa zetu tunakamua maziwa tunajaza tunaficha tukirudisha tunapewa tena hahaaaa
Maji yalikuwaga shida kipindi flan shadufu imekufa tunaenda chota maji mtoni yanavyura dah yale maisha aseh Mayao tulikuwa tu nanunua sh 10 sahani ya wali 250/= Nimeenda sana bustani chunga sana ng'ombe tulikuwa tunaenda na chupa zetu tunakamua maziwa tunajaza tunaficha tukirudisha tunapewa tena hahaaaa
okyo JF-Expert Member Mar 16, 2013 2,003 1,507 Mar 28, 2017 #11 Kuna jamaa alikuwa anaitwa pumbu hahaaaaa