Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,124
- 201,143
Tayari wazee wa kazi wamemaindMhuni babako
Tayari wazee wa kazi wamemaindMhuni babako
Hyo ngoma ni nyoko inaitwa Kwa nn mm aseee Kuna watu wanajua banakuna ngoma ya baba Malcom
Nick mbish Ft. Becka Tittle
ni hatari hii ngoma sijui kwanini akina rick ross waonekane juu ya Nick mbish baba malcom
BANGO
hahaha wallet iko tee!!!!! #tamaduni4evaWallet kitunguu nikifungua natoka chozi
Hivi TAMADUNI MUSIC huwa hawafanyi hip-hop battle hapo KILINGENI..!?namkubali sana songa na yuko vizur kwa punch line but sidhani kama anauwezo wa kumfikia zohan a.k.a baba malcom
Hyo ngoma ni nyoko inaitwa Kwa nn mm aseee Kuna watu wanajua bana
One ndio kiboko yao wengine wanafuataIncredible...moko ya miujiza, vocal kama ya Jesus, Mungu alimdesign mama yake akampublish dah hawa jamaa ni shiiida
Tatizo hawataki mziki wa kufikilisha,moko mashairi yake ni zaidi maarifa.Tena One The Incredible ni SURVEYOR ....graduate wa Ardhi.... Niki wa pili anafanya/anamalizia Masters.... Mike T kamaliza CBE anapiga mzigo, BLACK RHYNo kamaliza mzumbe BBA.... BONTA ni dokta hapo Kahama... ....EMBU NTAJIE WA5 TU WA MIZIKI YENU YA KULILIA NGOLOLONGOLO.... Mwenye hata Diploma..... Hip Hop mpaka uisikilize uilewe unahitaji kichwa chenye uwezo ...na mistari ushairi wake ni hali ya juuu.....
Tafuta nyimbo ya one incredible inaitwa mtanganjia, ndo utaelewa..EMCEE bora kabisa toka tamaduni music...
Tanzania ina Maemcee wa hatari bhana...