Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Kutoka gazeti la Mwananchi, baada ya ile hotuba nzuri ya rais aliyeachia madaraka Bw Rupiah Banda, rais mpya Bw Michael Sata amewachagua mawaziri sita kutoka chama pinzani cha MMD (Chama kinachoondoka madarakani). Jumla ya mawaziri ni 19.
Hapa tuna kuna somo kwa viongozi wetu na Afrika kwa ujumla.
Hapa tuna kuna somo kwa viongozi wetu na Afrika kwa ujumla.