mtaftaukweli1
Member
- Sep 21, 2012
- 27
- 1
serikali sasa lazma iweke mikakati ya makusudi ili kuhakikisha somo la hisabati lina taftiwa usfumbuzi,
wanafunzi wana lalamika kuwa somo eti ni gumu,mi nazan sekari kupitia wizara hucka watafte tiba maana hali ni
mbaya ,takwim zinaonesha kati ya masomo yanayo ongoza kwa wanafunzi kufell ni somo la hesabu primary na hata sekondary lakini pamoja na takwimu hizo hakuna mikakati maalumu .
wanafunzi wana lalamika kuwa somo eti ni gumu,mi nazan sekari kupitia wizara hucka watafte tiba maana hali ni
mbaya ,takwim zinaonesha kati ya masomo yanayo ongoza kwa wanafunzi kufell ni somo la hesabu primary na hata sekondary lakini pamoja na takwimu hizo hakuna mikakati maalumu .