Somo kuhusu nyoka

Somo kuhusu nyoka

Akaona isiwe tabu, hii ngoma sio ya watoto.

Ila kusema kweli mimi binafsi naogopa nyoka ni balaa. Kuna mwaka aliingia geto kwangu tena wala hakuwa mkubwa sana, Aisee nilikuwa na hofu kubwa sana na nilimuua katika namna ambayo nilikuwa namuonea huruma sana maana hata mimi sipendi nife kifo cha namna ile but very unfortunate sikuwa na jinsi kwa usiku ule, hofu ilikuwa kuu mno. Mwenyezi MUNGU naomba unisamehe. Hakika hofu inaleta ukatili
😳🤣🤣🤣🤣 We usitanie,unaomba msamaha kuua nyoka,tumeruhusiwa bhana la sivyo atakuua wewe
 
Mi kituo changu Cha kwanza Cha Kaz kilikuwa Chaka huko iringa,nipo sebuleni namwona huyo kajaa,nikaendelea kula ugali(kifutu afu black) nimwangalie amechagua kukesha wapi sikuhiyo...namwona huyo anaingia chumbani😳 nikajisemea onhoo,wewe utakuwa dume si bure🙄....nilichofanya ni kutoka pale Kwa kunyata na kumzungukia Kwa nyuma...lilikuwa ni suala la kumkamata shingo chap na kumkaba Kwa nguvu....akawa anafura huku kazungusha mwili wake mkononi....roho ikaniambia,hii ngoma ukilegeza tu mkono umekufa....so nikafanya kutaiti Kwa nguvu Ili akose pumzi ...nikaona analegea na mwili wake unatoka mikononi nikajua tayari hapa...nikamtupia chini puu,we bhana wee,Kumbe alikuwa ananizuga tu ili nimwachie...alivyokimbia nami nikakimbilia ndani kujifungia.sijui alikimbilia Chaka gani....lile tukio alilishuhudia mkuu msaidizi ...alikuja kuulizia ombi la kupewa game aliloomba Jana yake....nakumbuka hadi nahama pale hakuwa kanyaga Tena kwangu hata kumchekea alikuwa hataki nimchekee.😏sijui aliwaza Nini🤔🤦
Ina maana kifutu mpaka "unamkamata shingo" yeye alikuwa ametulia tu?😥
 
Akaona isiwe tabu, hii ngoma sio ya watoto.

Ila kusema kweli mimi binafsi naogopa nyoka ni balaa. Kuna mwaka aliingia geto kwangu tena wala hakuwa mkubwa sana, Aisee nilikuwa na hofu kubwa sana na nilimuua katika namna ambayo nilikuwa namuonea huruma sana maana hata mimi sipendi nife kifo cha namna ile but very unfortunate sikuwa na jinsi kwa usiku ule, hofu ilikuwa kuu mno. Mwenyezi MUNGU naomba unisamehe. Hakika hofu inaleta ukatili
Mimi kuna wanyama/wadudu wakikatiza mbele yangu lazima wafe tu. Narudia lazima siku hiyo wafe tu. 1. Nyoka 2. Panya 3. Mende. Sinaga huruma na hao viumbe
 
Mi kituo changu Cha kwanza Cha Kaz kilikuwa Chaka huko iringa,nipo sebuleni namwona huyo kajaa,nikaendelea kula ugali(kifutu afu black) nimwangalie amechagua kukesha wapi sikuhiyo...namwona huyo anaingia chumbani nikajisemea onhoo,wewe utakuwa dume si bure....nilichofanya ni kutoka pale Kwa kunyata na kumzungukia Kwa nyuma...lilikuwa ni suala la kumkamata shingo chap na kumkaba Kwa nguvu....akawa anafura huku kazungusha mwili wake mkononi....roho ikaniambia,hii ngoma ukilegeza tu mkono umekufa....so nikafanya kutaiti Kwa nguvu Ili akose pumzi ...nikaona analegea na mwili wake unatoka mikononi nikajua tayari hapa...nikamtupia chini puu,we bhana wee,Kumbe alikuwa ananizuga tu ili nimwachie...alivyokimbia nami nikakimbilia ndani kujifungia.sijui alikimbilia Chaka gani....lile tukio alilishuhudia mkuu msaidizi ...alikuja kuulizia ombi la kupewa game aliloomba Jana yake....nakumbuka hadi nahama pale hakuwa kanyaga Tena kwangu hata kumchekea alikuwa hataki nimchekee.sijui aliwaza Nini
Jamaa alihofia kua huenda unavaa sketi lakini ndani una mjegeje usije ukamla yeye
 
Mpaka black mamba?
Nyoka yoyote yule..siunawaona wahindi wanavyo cheza na cobra lakin hamna kung'atana. wala nn
Mm binafsi nilkuwa na libangili hilo wala sikuwa najua faida yake. .siku nimenda kwa bimkubwa ndo ananiambia umetolea wapi hilo. Ndo akanipa faida zake .sasa skumoja nakatiza kwenye mitimiti nikawa nachuma matunda .natumia ule mkono nliovaa kumbe pemben matunda kuna nyoka wale wamtini ameduwaa tu nikaruka chini .ndonikapata akili mdawote nachuma matunda nyoka alikuepo hakuning'ata kumbe ndonkakumbuka maelezo ya bimkubwa kuhusu bangili
 
Mi kituo changu Cha kwanza Cha Kaz kilikuwa Chaka huko iringa,nipo sebuleni namwona huyo kajaa,nikaendelea kula ugali(kifutu afu black) nimwangalie amechagua kukesha wapi sikuhiyo...namwona huyo anaingia chumbani😳 nikajisemea onhoo,wewe utakuwa dume si bure🙄....nilichofanya ni kutoka pale Kwa kunyata na kumzungukia Kwa nyuma...lilikuwa ni suala la kumkamata shingo chap na kumkaba Kwa nguvu....akawa anafura huku kazungusha mwili wake mkononi....roho ikaniambia,hii ngoma ukilegeza tu mkono umekufa....so nikafanya kutaiti Kwa nguvu Ili akose pumzi ...nikaona analegea na mwili wake unatoka mikononi nikajua tayari hapa...nikamtupia chini puu,we bhana wee,Kumbe alikuwa ananizuga tu ili nimwachie...alivyokimbia nami nikakimbilia ndani kujifungia.sijui alikimbilia Chaka gani....lile tukio alilishuhudia mkuu msaidizi ...alikuja kuulizia ombi la kupewa game aliloomba Jana yake....nakumbuka hadi nahama pale hakuwa kanyaga Tena kwangu hata kumchekea alikuwa hataki nimchekee.😏sijui aliwaza Nini🤔🤦
Urongooo, kama nyoka mtu unamuogopa sembuse nyoka nyoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom