Meja mstaafu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 520
- 1,110
Acha ujinga, yaani usubiri mpaka uongozi wa MTU uishe ndio umkosoe. Nyambafu
Somo linapatikana kwa awamu ya nne..dereva yule alipigiwa kelele sana..lakini gari lilifika na kelele hazikusaidia.Na leo hii abiria wake wanampongeza kwa umalidadi wake wa kuongoza gari kuliko huyu wa sasa.huyu jamaa anaakili za ajabu hata nashindwa kumshangaa, kwahiyo hata kama dereva anaingia shimoni tutulie tu hadi tuingie ndo tumwambie kuna jiwe lilikuwepo pale angelikwepa!!
ama kweli ujinga ni ugonjwa mbaya sana.
haya ngoja wasubiri muda wake uishe wamkosoe...mimi sio mkosoaji hata hivyo.
Uko sahihi mkuu kwa maoni yako.. Ila;Mkuu kama huwa unasubiri kwanza ufike unakokwenda ndio ujue kama dereva ni mzuri au mbaya basi utakuwa na matatizo pia. Na kama uko hivyo unaweza usifike mwisho wa safari ukafia njiani.... kukosoa ni kuonyesha kasoro ilipo ili wahusika warekebishe mapungufu na kuboresha panapohitajika. Sasa ukisubiri mpaka muda utakapoisha ukikosoa itasaidia nini? Mhubiri mmoja alisema ukiona mtu anataka kuingia kuogelea na viatu jukumu lako ni kumweleza kuwa huwezi kuogelea na viatu, usisubiri azame ndio uanze kusema hukupaswa kuingia na viatu, hapo utawekwa kwenye kundi la wanafiki. Kwa mtu yeyote makini gari ikianza safari tu utamjua dereva makini na asiye na umakini na ndio maana wakatoa namba za simu za maofisa usalama ili kama kuna tatizo toa taarifa usisubiri ufike kwanza, unaweza usifike..... Kukosoa kuna lengo la kukuimarisha na utambue unapokosea, huwa hatugombani na kioo kinapotuonyesha uchafu uliopo usoni. Lengo kuu ni kujengana Tanzania ni yetu sote..... Mwisho hilo neno "tukufu" Nyerere alilikataa kwenye utawala wake likaibuka enzi za mzee Mwinyi, Mkapa akalikataa tena. Kwa Kikwete halijasikika kabisa naona linaibukia ngwe hii tena.... Utukufu ni wa Mwenyezi Mungu pekee.
Binafsi nashindwa kuelewa, nilitarajia baada ya sheria ya makosa ya mtandaoni kuanza kutumika, watu wangeacha au kupunguza ukosoaji na matusi ktk mitandao ya kijamii kwa serikali yetu Tukufu ya awamu ya Tano.
Sasa kila kipita huku na kule kwenye mitandao ya kijamii...nakuta watu ni matusi tu..
Pamoja na kuwa kuna kesi nyingi tu na wengi bado wanafuatiliwa lakini bado watu hawajaacha tu..
Najiuliza tu!!, nn kifanyike watu waelewe kuwa serikali hii Tukufu inahitaji ifanye kazi na watu waone matokeo na si kupigiwa kelele ambazo zimepigwa miaka yote na hazijaleta manufaa yoyote?
Binafsi suala kukosoa naliunga mkono ila lingefaa zaidi liwe linafanyika baada ya muda wa uongozi kuisha...
Huwezi kujua huyu dreva ni mzuri au mbaya wakati bado hujafika unako kwenda...
Hivyo binafsi naona ni vyema hukumu au ukosoaji ukakafanyika baada ya safari..na siyo njiani.
Ndyo maana wengine wanamsifia dreva aliye pita kuwa alikuwa mzuri kuliko huyu....... wakati, alipokuwa anaendesha walikuwa wanamlalamikia sana.
Mm binafsi nijiuliza sana...tangu sheria ya mitandao ianzishwe, no changes..watu awanaendelea kufanya yao tu, na wengine wako ndani na wengine wanakamatwa...kukosoa hakutaisha kamwe,hasi tarajie kwenye nchi ya demokrasia watu wapo huru kuongea ili mradi hawatukani ..mbegu wayano ipandikiza kwa hii kamatakamata kufunga midomo ,ikikuwa itasumbua sana taifa
Mtu akiwa anakupiga risasi akuue, halafu kuna mtu mwingine ana uwezo wa kuzuia huyo anayekupiga risasi asikupige risasi,halafu mtu wa tatu akasema "usizuie huyu michosho apigwe risasi, subiri kwanza apigwe risasi halafu ndiyouje usemekwamba kumpiga risasi ni kitu kibaya.Binafsi nashindwa kuelewa, nilitarajia baada ya sheria ya makosa ya mtandaoni kuanza kutumika, watu wangeacha au kupunguza ukosoaji na matusi ktk mitandao ya kijamii kwa serikali yetu Tukufu ya awamu ya Tano.
Sasa kila kipita huku na kule kwenye mitandao ya kijamii...nakuta watu ni matusi tu..
Pamoja na kuwa kuna kesi nyingi tu na wengi bado wanafuatiliwa lakini bado watu hawajaacha tu..
Najiuliza tu!!, nn kifanyike watu waelewe kuwa serikali hii Tukufu inahitaji ifanye kazi na watu waone matokeo na si kupigiwa kelele ambazo zimepigwa miaka yote na hazijaleta manufaa yoyote?
Binafsi suala kukosoa naliunga mkono ila lingefaa zaidi liwe linafanyika baada ya muda wa uongozi kuisha...
Huwezi kujua huyu dreva ni mzuri au mbaya wakati bado hujafika unako kwenda...
Hivyo binafsi naona ni vyema hukumu au ukosoaji ukakafanyika baada ya safari..na siyo njiani.
Ndyo maana wengine wanamsifia dreva aliye pita kuwa alikuwa mzuri kuliko huyu....... wakati, alipokuwa anaendesha walikuwa wanamlalamikia sana.
...nani aliempa gari? mbona nasikia alisemaga aliomba awashe tu mkamuachia akalie na siti mbele ya usukani...na mkamuacha aliondoe pasi kujiandaa.Somo linapatikana kwa awamu ya nne..dereva yule alipigiwa kelele sana..lakini gari lilifika na kelele hazikusaidia.Na leo hii abiria wake wanampongeza kwa umalidadi wake wa kuongoza gari kuliko huyu wa sasa.
Sasa kwa nini kwa sasa tusiache kupiga kelelele na tukasubiri mwisho wa safari.??
Tulimpatia gari kwa kumwamini kuwa ana lesseni ..sasa kelele za nini??
Binafsi nashindwa kuelewa, nilitarajia baada ya sheria ya makosa ya mtandaoni kuanza kutumika, watu wangeacha au kupunguza ukosoaji na matusi ktk mitandao ya kijamii kwa serikali yetu Tukufu ya awamu ya Tano.
Sasa kila kipita huku na kule kwenye mitandao ya kijamii...nakuta watu ni matusi tu..
Pamoja na kuwa kuna kesi nyingi tu na wengi bado wanafuatiliwa lakini bado watu hawajaacha tu..
Najiuliza tu!!, nn kifanyike watu waelewe kuwa serikali hii Tukufu inahitaji ifanye kazi na watu waone matokeo na si kupigiwa kelele ambazo zimepigwa miaka yote na hazijaleta manufaa yoyote?
Binafsi suala kukosoa naliunga mkono ila lingefaa zaidi liwe linafanyika baada ya muda wa uongozi kuisha...
Huwezi kujua huyu dreva ni mzuri au mbaya wakati bado hujafika unako kwenda...
Hivyo binafsi naona ni vyema hukumu au ukosoaji ukakafanyika baada ya safari..na siyo njiani.
Ndyo maana wengine wanamsifia dreva aliye pita kuwa alikuwa mzuri kuliko huyu....... wakati, alipokuwa anaendesha walikuwa wanamlalamikia sana.
Mwisho wa safari ipi ikiwa yeye mwenyewehajui anaenda wapi!!Mm nadhani tumuache aendeshe...mwisho wa Safari tuta-tathimini
Hapo kazi ipo mkuu, hasara tupuHii sio serikali tukufu....
Unajua maana ya ukosoaji?
Halafu ukute huyu mtu ni mwenye elimu ya chuo kikuu.
Nani amekuambia rais anashtakiwa?Hapana mkuu...sheria si zipo??
Siri ya gari anayeijua ni mmiliki na sio dereva, na sisi ndio wamiliki tushaona tunapoteaUsisahau kuwa siri ya gari anaijua dreva.