Somo gani litolewe watu waache kukosoa hovyo Serikali

Binafsi suala kukosoa naliunga mkono ila lingefaa zaidi liwe linafanyika baada ya muda wa uongozi kuisha...

Huwezi kujua huyu dreva ni mzuri au mbaya wakati bado hujafika unako kwenda...

Nyiye ni wale utasikia wakilalamika wakiwa juu ya vitanda vya hospitali; Dereva wetu alikuwa anakwenda mwendo wa kasi sana gari ikamshinda! Mbona msimzuie kabla hajaangusha gari??
Hao wanaokosoa waambie wakosoe kwa lugha nzur tu nasi tutawasikia ila usiseme ati wangojee muhula upite ndo tukosoe. Nnani aliyewahi kukosoa majuto?? Kwetu wanasema, Majuto ni mjukuu.
 
Binafsi nashindwa kuelewa, nilitarajia baada ya sheria ya makosa ya mtandaoni kuanza kutumika, watu wangeacha au kupunguza ukosoaji na matusi ktk mitandao ya kijamii kwa serikali yetu Tukufu ya awamu ya Tano.

Sasa kila kipita huku na kule kwenye mitandao ya kijamii...nakuta watu ni matusi tu..

Pamoja na kuwa kuna kesi nyingi tu na wengi bado wanafuatiliwa lakini bado watu hawajaacha tu..

Najiuliza tu!!, nn kifanyike watu waelewe kuwa serikali hii Tukufu inahitaji ifanye kazi na watu waone matokeo na si kupigiwa kelele ambazo zimepigwa miaka yote na hazijaleta manufaa yoyote?

Binafsi suala kukosoa naliunga mkono ila lingefaa zaidi liwe linafanyika baada ya muda wa uongozi kuisha...

Huwezi kujua huyu dreva ni mzuri au mbaya wakati bado hujafika unako kwenda...

Hivyo binafsi naona ni vyema hukumu au ukosoaji ukakafanyika baada ya safari..na siyo njiani.

Ndyo maana wengine wanamsifia dreva aliye pita kuwa alikuwa mzuri kuliko huyu....... wakati, alipokuwa anaendesha walikuwa wanamlalamikia sana.

Wewe kweli miçhosho, yaani dereva anaendesha mwendo wa hatari halafu ungoje mpaka mwisho wa safari ndiyo umkosoe? Huu mfano wako wa dereva hauna mantiki,
 
Binafsi nashindwa kuelewa, nilitarajia baada ya sheria ya makosa ya mtandaoni kuanza kutumika, watu wangeacha au kupunguza ukosoaji na matusi ktk mitandao ya kijamii kwa serikali yetu Tukufu ya awamu ya Tano.

Sasa kila kipita huku na kule kwenye mitandao ya kijamii...nakuta watu ni matusi tu..

Pamoja na kuwa kuna kesi nyingi tu na wengi bado wanafuatiliwa lakini bado watu hawajaacha tu..

Najiuliza tu!!, nn kifanyike watu waelewe kuwa serikali hii Tukufu inahitaji ifanye kazi na watu waone matokeo na si kupigiwa kelele ambazo zimepigwa miaka yote na hazijaleta manufaa yoyote?

Binafsi suala kukosoa naliunga mkono ila lingefaa zaidi liwe linafanyika baada ya muda wa uongozi kuisha...

Huwezi kujua huyu dreva ni mzuri au mbaya wakati bado hujafika unako kwenda...

Hivyo binafsi naona ni vyema hukumu au ukosoaji ukakafanyika baada ya safari..na siyo njiani.

Ndyo maana wengine wanamsifia dreva aliye pita kuwa alikuwa mzuri kuliko huyu....... wakati, alipokuwa anaendesha walikuwa wanamlalamikia sana.
Somo la hesabu itapendeza
 
Binafsi nashindwa kuelewa, nilitarajia baada ya sheria ya makosa ya mtandaoni kuanza kutumika, watu wangeacha au kupunguza ukosoaji na matusi ktk mitandao ya kijamii kwa serikali yetu Tukufu ya awamu ya Tano.

Sasa kila kipita huku na kule kwenye mitandao ya kijamii...nakuta watu ni matusi tu..

Pamoja na kuwa kuna kesi nyingi tu na wengi bado wanafuatiliwa lakini bado watu hawajaacha tu..

Najiuliza tu!!, nn kifanyike watu waelewe kuwa serikali hii Tukufu inahitaji ifanye kazi na watu waone matokeo na si kupigiwa kelele ambazo zimepigwa miaka yote na hazijaleta manufaa yoyote?

Binafsi suala kukosoa naliunga mkono ila lingefaa zaidi liwe linafanyika baada ya muda wa uongozi kuisha...

Huwezi kujua huyu dreva ni mzuri au mbaya wakati bado hujafika unako kwenda...

Hivyo binafsi naona ni vyema hukumu au ukosoaji ukakafanyika baada ya safari..na siyo njiani.

Ndyo maana wengine wanamsifia dreva aliye pita kuwa alikuwa mzuri kuliko huyu....... wakati, alipokuwa anaendesha walikuwa wanamlalamikia sana.
Kuna Mambo mengine unahitaji tu akili za kuvukia barabara kujua hili ni la ki puuzi na huwezi kukaa kimya
 
Somo zuri ni lile la Serikali kuacha kuchanganya Utendaji na Siasa
 
Ukiona mtu anaogopa kukosolewa basi huyo ujue ana makando kando mengi anaogopa yasijulikane. Kiongozi mwenye busara lazima ukubali kukosolewa ili uweze kujitathmini na kuchunga mienendo yako.

Hapo kwenye somo nyie wenyewe "mleta uzi na wenzio" mnajua kuwa somo lenu ni "the hard way". Hamutoagi option ya "silver or lead" nyie ni "lead" tu kwa kuwatumia wale wanaoitwa "wasiojulikana"

Kakazeni ila mwisho wa siku mtaumbuka.
 
Tatizo letu si kwamba watu wanakosoa ovyo serikali.

Tatizoletu ni kwamba watu hawakosoi serikali vya kutosha, wanaheshimu sana serikali.
 
Nguvu haijawahi kuleta suluhu hata siku moja, ndo maana kuna meza za mazungumzo!
 
Nahisi una kiwango kikubwa cha ushabiki. Vinginevyo ni ujuha kusubiri mwisho wa safari ndio utambue ujuzi wa dereva. Gear ya kuondokea tu utamjua dereva. Kupokea sifa za kinafiki ni kipimo cha ujinga.
 
Nahisi una kiwango kikubwa cha ushabiki. Vinginevyo ni ujuha kusubiri mwisho wa safari ndio utambue ujuzi wa dereva. Gear ya kuondokea tu utamjua dereva. Kupokea sifa za kinafiki ni kipimo cha ujinga.
Kuna wakati mwingine tunatakiwa tumwamini dreva..

Mbona wa awamu ya nne style ya kukosoa ilikuwa ile ile na bado hapakuwa na mabadiliko??

Kwa sasa tubadili style ,tukae kimya hadi mwisho kwani style km ile tuliyo tumia awamu ya nne ili- prove failure.

Tusikariri.
 
Tatizo letu si kwamba watu wanakosoa ovyo serikali.

Tatizoletu ni kwamba watu hawakosoi serikali vya kutosha, wanaheshimu sana serikali.
Mfumo huo wa ukosoaji ulitumika awamu ya nne, lakini haukuleta matokeo chanya....

Sasa ni wakati wa kubadili mfumo mkuu..
 
Nahisi una kiwango kikubwa cha ushabiki. Vinginevyo ni ujuha kusubiri mwisho wa safari ndio utambue ujuzi wa dereva. Gear ya kuondokea tu utamjua dereva. Kupokea sifa za kinafiki ni kipimo cha ujinga.
Kumjaji dreva kwa gear moja tu, siyo sahihi na ukishamjaji bado haita saidia, bora ukae kimya tu kwani umeingia nae mkataba hadi mwisho wa safari...

Hivyo kumkosoa na kupiga keleke hazitasaidia...

Bora km ukifika ndo unaweza kufanya kitu.....

Katiba irekebishwe.....mwisho wa safari dereva ashitakiwe kwa makosa yake ......hapo ndo inaweza kusaidia...na si kelele za chura.
 
Back
Top Bottom