Somebody uuuh..... With Kasie....

Somebody uuuh..... With Kasie....

I have this weird feeling kuwa huyu anajaribu kuchuana na Lara1😕😕
 
PENZI NI KIKOHOZII KULIFICHA HULIWEEZII

Aaaah haaaaahahahahahahahahaaaa

" Oooooh Kitorondoo....................... Mwendawazimu kaingiaje........
Kwenye nyumba ya sherehe...... mwendawazimu kaingiajeee............"

....................... Thomas!!............................ mwendawazimu

Aaaahahahahahahaaaaaa raha sana asikwambie mtu looh

Kasie
 
Hayaa kumekucha tenaa. ....... asiye na mwana aeleke jiwe hehee heee

Kwa mtindo huu... 2016 iwe na miezi 36 looh ndo iingie 2017 hahahahhaa yaani ni raha juu ya utamu chungu zote zinatemwa ptuuu.

As usual Kasie is nasty and crazy enjoying the sea breeze while cruising on a super luxury boat with somebody...... Mr. Man....

Maswali yanaanza sasa.... yuko wapi huyu kibibi? hapa bongo kuna boti gani
la luxury?. ... hehehheheee

Kila leo namshukuru maulana kwa siku iendayo juu yangu na kumuomba sana anipe na aniongezee siku zangu za kuishi duniani maana..... nikitafakari huwa naishia kusema nilichelewa wapii.
Katika kumshukuru maulana huwa namshukuru na kumheshimu sana aliyenisaidia kupata kibarua hiki kipya ndo kimezaa hayaa ya sasa yaani ni raha ndani ya roho. Maana nafanya kazi huku naishi yaani nainjoi maisha, saa nyingine huwa nawaza tuu hivi hii nafasi ingenijia tangu niko 30 yrs kamili ingekuwaje...... maana hapo ndo utambuzi unaanza.
Ila kila jambo na majira na wakati wake hata kwa wakati huu bado nafurahia maisha vile ego esteem from within me reveal to the outside haaa am happy and enjoying.

Iko hivi..... baada ya likizo fupi ya pasaka nilirudi kazini na nikapangiwa kwenda nchi flani (.....) kwa wiki kadhaa na ndo niko kwenye hiyo nchi. Nimeiweka kapuni kwa sababu za kiintelejinsia..... Baada ya siku tatu tangu niwasili hotelini... I met this man.... hahahahaa he was on vacation alone ..........
Mambo mengi yame pita na tumeyazungumza kati yangu na Mr. Man na sitayasema hapa. Ila we click so well.... almost everything hadi dancing.... type of music kind of food hahahahahaha acha tuu hadi yale masihara na kutaniana yaani kwa mara ya kwanza tulikaa masaa 4 bila kujua kama tumekaa masaa 4 tukiwa tunaongea na kucheka na kufahamiana.
This Mr. Man is wealth enough, amekodisha boti a luxury boat, kuna wafanyakazi 3 na mimi na yeye tuu Hahahahaaa.
Acha nicheke cheke kila dakika dalili za nyege hizi na Mr. Man yuko well formed.... body structure.... akizungusha mikono yake kunikumbatia utasema niko kwenye jacuzzi yaani natuliaaaa tuliii kifuani pake hehehehehehee.

Kabla ya kukubaliana kuja kwenye hii boat aliniwekea wimbo wa Whitney akaniambia ukinikubalia maneno ya huu wimbo nitakuzawadia na wimbo wenyewe ulikuwa huu....

I wanna dance with somebody... I wanna be right here with somebody... everyday with somebody.... With somebody who loves me..iiigh. ...

Kiufupi he wanted to be alone with me for two days somewhere someplace and here we are....

He gave me a ring... not engagement... not wedding ring rather a bond ring.... we have a bond and we click so well.

I love this Mr. Man .... pamoja na mapungufu yangu... He knows how to treat me without upset me.

Heheheheee haya sasa....maswali yote mliyonayo ntayajibu ulizaaa na najua swali la kwanza litakuwa kuhusu...... J. Uliza tuu.

Kasie with somebody..... Mr. Man.

Mmuah Mr. Man!!!

Kasie.
Kwa heshima na taadhima, ukirudi kutoka huko naomba na mimi nionje! Mimi sina cruise ship wala mtumbwi, nina baiskeli niliyorithi kwa babu nayo tairi lake moja lina pancha.

But i swear (sijui hata maana yake hilo neno) ila ntakupeleka geto, ntakuonja tu and no more. I swear i won't come here and say anything about it (unless you say so) please naomba nami nionje japo kidogo.

Mi hayo manyimbo ya kijerumani siyajui mi najua za kina msaga sumu tu, ntakuwekea usikie maana nimeweka kwenye TECNO yangu tena nimeinunulia memory juzi tu. Utazipenda najua ntakufundisha na kucheza mchiriku.

Ukija usipige pafyum kali sana maana huwa inaninyong'onyeza mi nimezoea ile ya COBRA na mafuta yetu ya MUMMYS na RAYS. Ntaongea na boss wangu anikopeshe hela ili nikukodie BODABODA maana ninapoishi gari haifiki kuna bonde na mto katikati.

Naomba na mimi NIONJE!

Signed: M'Jr ✅
 
Kwa heshima na taadhima, ukirudi kutoka huko naomba na mimi nionje! Mimi sina cruise ship wala mtumbwi, nina baiskeli niliyorithi kwa babu nayo tairi lake moja lina pancha.

But i swear (sijui hata maana yake hilo neno) ila ntakupeleka geto, ntakuonja tu and no more. I swear i won't come here and say anything about it (unless you say so) please naomba nami nionje japo kidogo.

Mi hayo manyimbo ya kijerumani siyajui mi najua za kina msaga sumu tu, ntakuwekea usikie maana nimeweka kwenye TECNO yangu tena nimeinunulia memory juzi tu. Utazipenda najua ntakufundisha na kucheza mchiriku.

Ukija usipige pafyum kali sana maana huwa inaninyong'onyeza mi nimezoea ile ya COBRA na mafuta yetu ya MUMMYS na RAYS. Ntaongea na boss wangu anikopeshe hela ili nikukodie BODABODA maana ninapoishi gari haifiki kuna bonde na mto katikati.

Naomba na mimi NIONJE!

Signed: M'Jr ✅
Na ukipelekewa moto na Kasie usijetoroka na pichu mkononi na kulia lia kuwa unapelekeshwa kama behewa la treni...maana mziki anaocheza Kasie sio wa kitoto kumbuka ana uzoefu wa kubeba mizigo mizito.
Get prepared kabisaa nenda gym kula vizuri tayari kwa kazi sio uwe legelege, nikikutumia PM tuu wewe ndo utakuja home kwangu huko kwako sitafika. Sharti ni hutolala kwangu, baada ya shughuli unasepa.

Deal? ...!!!??
 
Na ukipelekewa moto na Kasie usijetoroka na pichu mkononi na kulia lia kuwa unapelekeshwa kama behewa la treni...maana mziki anaocheza Kasie sio wa kitoto kumbuka ana uzoefu wa kubeba mizigo mizito.
Get prepared kabisaa nenda gym kula vizuri tayari kwa kazi sio uwe legelege, nikikutumia PM tuu wewe ndo utakuja home kwangu huko kwako sitafika. Sharti ni hutolala kwangu, baada ya shughuli unasepa.

Deal? ...!!!??
Deal!

Nakuhakikishia mi sili chips yai wala chai na vitumbua. Nakula mihogo na viazi aka fiasi. Ukinipa mkate nakata mzima na maziwa, kwahiyo usijali kuhusu shughuli.

I don't hit hard, i hit inteligently and tactically.

Nasubiri PM yako.

Signed: M'Jr ✅
 
Deal!

Nakuhakikishia mi sili chips yai wala chai na vitumbua. Nakula mihogo na viazi aka fiasi. Ukinipa mkate nakata mzima na maziwa, kwahiyo usijali kuhusu shughuli.

I don't hit hard, i hit inteligently and tactically.

Nasubiri PM yako.

Signed: M'Jr ✅

Stay tuned from 1st May to 15th May hapo kati shughuli ndo itachezwa
 
Stay tuned from 1st May to 15th May hapo kati shughuli ndo itachezwa
Alright, from today m accumulating my energy. Get ready coz z gonna be a super game

Signed: M'Jr ✅
 
Alright, from today m accumulating my energy. Get ready coz z gonna be a super game

Signed: M'Jr ✅

You game with Kasie right?

Get really prepared more than super sonic speed....
 
I am super prepared naturally no add ons

Signed: M'Jr ✅
 
Back
Top Bottom