Somalia yaanza Kuwafukuza Waethiopia

imhotep

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
46,674
71,036
Somalia imeanza oparesheni fikuza wageni na Wakristo katika nchi yao huku ikianza na waKenya na Sasa Waethiopia.
Malori yaliyojaa Raia wa Ethiopia wameonekana wakisombwa kwenye Malori ya Mizigo Kama wanyamapori huku akina Mama wakipiga Vigelegele huko Garowe na Bosasso
Huku wao wamejaa nchi za watu bila bughudha

1GlWSVE.jpg
yREH4Zf.jpg
pHGL6Dd.jpg
 
Waarabu kutoka Yemen wamejaa Somalia na wala hawabughudhiwi,hii ni taswira kuwa Hawa jamaa ni Vijakazi wa Waarabu.

Hawa jamaa wanawatesa Wabantu kama Serikali ya Makaburu ila wako Radhi Wavae Mabomu na kujilipua kuwatetea Wapalestina kama Ilhaan Omar anavyofanya.
 
Ngedere,ngedere tu,hao wakenya wakiamua kuwatoa wasomali Westland hapo Kenya kutakalika?
Uzuri sisi hatupo mahali kwa wingi,tukiamua kuwakimbiza wasomali waliojaa hapo Kkoo sijui watafanyaje.
Maana ni kazi ndogo tu mwanasiasa kuwaambia machinga wawapeleke woote wasomali na wachina pale uwanja wa karume.watapewa zawadi nono,
Utaona vumbi lake
 
Wasomali kwa asili ni wabaguzi sana ndiyo maana hawapendani wanaamua kuchinjana. Wakati mwingine ni vizuri kuwa na wageni ili mpate wa kusingizia matatizo yenu. Kwa mfano Watanzania wanahisi wanyonyaji hapa nchini ni Wahindi. Laiti wahindi wasingekuwepo tungeona wanyonyaji ni Wapemba na Wachaga labda..(najaribu kuwaza tu). Na hasira zote tungezimalizia kwao. Uwepo wa wageni unasaidia wenyeji kuelewana
 
Wasomali kwa asili ni wabaguzi sana ndiyo maana hawapendani wanaamua kuchinjana. Wakati mwingine ni vizuri kuwa na wageni ili mpate wa kusingizia matatizo yenu. Kwa mfano Watanzania wanahisi wanyonyaji hapa nchini ni Wahindi. Laiti wahindi wasingekuwepo tungeona wanyonyaji ni Wapemba na Wachaga labda..(najaribu kuwaza tu). Na hasira zote tungezimalizia kwao. Uwepo wa wageni unasaidia wenyeji kuelewana
Hahaa mkuu et Wapemba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa ajenda yao ya kudominate Uchumi wa Kenya inaenda Kufanikiwa ila Kenya kuna Miamba inaitwa WaGikuyu hao jamaa hawatawaweza juzijuzi Wasomali wameingiza Sukari iliyojaa Madini ya Zebaki nchini Kenya Wameshtukiwa lengo ni Kumaliza Kizazi Cha wakenya ili waanze kushika biashara ya Utalii
 
Somaliland haijawahi kufukuza raia wa afrika ya mashariki iliwahi kuwafukuza Wayemen kwa kuhofia ISIS..
 
Wakati Somalia ikiwa ni Pain in da East African arse na Afrika kwa Ujumla SOMALILAND inajenga Madaraja ya Ujirani Mwema.
 
somalilandembassy.jpg

Ubalozi wa Somaliland Addis Ababa Somaliland Ina uhusiano mzuri na Ethiopia
Somaliland hawapendi Vurugu wala kuwalipua mabomu majirani zao ndio raha ya kutawaliwa na Muingereza Unakuwa Mstaarabu.angalia huyo mtalii kutoka Israel akielekea Somaliland.
 
Ngedere,ngedere tu,hao wakenya wakiamua kuwatoa wasomali Westland hapo Kenya kutakalika?
Uzuri sisi hatupo mahali kwa wingi,tukiamua kuwakimbiza wasomali waliojaa hapo Kkoo sijui watafanyaje.
Maana ni kazi ndogo tu mwanasiasa kuwaambia machinga wawapeleke woote wasomali na wachina pale uwanja wa karume.watapewa zawadi nono,
Utaona vumbi lake
Hahahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waarabu wakila bata ndani Somalia huku wakiwafukuza Waafrika wenzao hata kama ni wakristu au wabantu au waisilamu
DSC_0028_JPG.jpg
 
Serikali ya Somaliland imeshutumu vikali vitendo vya Unyanyasaji wanaofanyiwa Raia wa nchi jirani na Serikali ya Somalia.
Imewaambia watu wenye nia kwenda kutafuta kazi Somaliland au wawekezaji watalii wanakaribishwa na Uraia inatoa kwa watu wenye ujuzi na wapenda amani bila kujali dini wala kabila.
 
Jina halisi la Kinana ni Kaanan lenye maana ya nchi za mbali katika kamusi ya English Somali.
 
Hatimae waithiopia wmefikishwa mpakani na kutupwa bila maji wala chakula
 
Hao somali wamekua wakipigana wenyewe kwa wenyewe, kabla hapo walikua vitani na Ethiopia karibu miaka kumi, pia walishawai kutaka kupigana na Kenya wakati ule wa shifta war......... Ile siku somalia itaungana na kua nchi moja, ntutarajie watatafuta adui wa nje kupigana naye manake historically tangu early 19th centrury hakuna muda hawakua vitani na adui tofauti kila baada ya miaka kumi
 
Back
Top Bottom