prianka
JF-Expert Member
- Aug 29, 2012
- 684
- 168
katikaka mahusiano mnaishi vzr 2 we na mwenza wako hadi inafika cku ya kupeleka kwenu posa inakubalika sasa inabakia cku ya kumpeka huyo mchumba wako nyumbani kwenu kwa ajili ya utambulisho mkawa mmekubaliana kabisa kama cku fulani 2taenda cku ya cku inafika mwenzio anaingia mitini na huku nyumbani maandalizi yamepamba moto kwa ajili ya utambulisho na kuanzia cku hiyo akakata mawasiliano baada ya mwezi mmoja akakupigia cm anakuomba msamaha kwa kilicho tokea je utamsamehe au utafanyaje