Soma Hapa Kumhusu Flora Mbasha

Soma Hapa Kumhusu Flora Mbasha

Habari wana JF. Juzi nilikuja na uzi nikimshambulia Flora Mbasha kwamba hana Mungu ndani yake maana anavunja ndoa yake mwenyewe misili ya mtu ambaye hajawahi kusoma hata fungu moja la Biblia, watu walinishambilia sana. Leo nimeona hii video ya Baba yake mbasha akisema Flora alimchoka mwanangu, inasikitisha sana nasikia kulia nikitafakari mke wako mwenyewe tena wa ndoa akikumaliza huku ukiona.

HITIMISHO
Mungu haabudiwi kwa style ya kuimba kwa kupiga makelele na kukata viuno bali tunamuita Mungu awe ndani yetu kwa kuimba nyimbo za kuabudu, ndio maana katika maisha yangu sijawahi kupenda nyimbo za huyu dada pamoja na Rose Mhando sidhani kama mungu atakua ndani kwa ujinga kama ule wa kupiga kelele na kukata viuno.

Inawezekana kweli Flora ana makosa kwa kuvunja ndoa yake.lakini hiyo haihalalalishi makosa ya Mbasha ikiwa kweli alibaka. Kwa kuwa suala liko mahakamani hebu acheni mahakama itende haki. baada ya hapo manaweza kutoa hayo majumuisho yenu.
 
Thats the point!
You cannot switch God on and off at will and expect Him to be happy about it.
Advice her, Flora, that if she does not make up with her husband, all the singing in the world will not let her forge her way into eternity.

God's relationship with people is personal, its not a public one. She is big and spiritual enough to know her position with God, and please note, the only exception to the law of marriage is sex outside marriage. However, i believe Flora and Mbasha will sort it out at some point and not necessarily now.

So why don't you be patient?
 
God's relationship with people is personal, its not a public one. She is big and spiritual enough to know her position with God, and please note, the only exception to the law of marriage is sex outside marriage. However, i believe Flora and Mbasha will sort it out at some point and not necessarily now.

So why don't you be patient?
How wrong you are!
Mungu wetu ni mwenye wivu, ukimdhalilisha hadharani, subiri kudhalilishwa-kama hukutubu!
 
No wonder thread nzima unainenepesha.........just like other misukule. jm2 unafata malipo kwa gwamaji

Sista, i look at your avatar and it clearly tells me that you carry a DNA that is a mixture between fallen angels and daughters of men. I know i communicate with you. Where do you reside, in the sea, in the air or at the bottom of the earth where your father resides.

Go and tell him that since he was conquered on the cross of Calvary by our Lord Jesus Christ he has never recovered, and we have the authority to destroy his works at will through the blood of Jesus.
 
How wrong you are!
Mungu wetu ni mwenye wivu, ukimdhalilisha hadharani, subiri kudhalilishwa-kama hukutubu!

Amemdhalilishaje, au yeye ndiye aliyedhalilishwa. Halafu umeongeza kama akitubu, her personal relationship with God includes repenting whatever she has not done right with God in her heart and in a closet.
 
Mwanamke -------- ubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe....

Mbasha kahujumiwa inaonekana mke hataki ndoa ila akae akijua the world is turning on its axis.
 
jamani sielewi lini tutakuwa na upeo mkubwa wa kuangalia mwanamke nae ni binadamu kama mwanaume. Fine frola kafanya yake je na mumewe mbona hatuoni kile kibaya chake. maisha ya kuishi wawili ndani ya nyumba ni siri yao binafsi pia hakuna mtu anayekubali kosa ata kama mbasha angekutwa juu ya kifua angesema nilikuwa namsaidia shem kumkuna mduduu kamngata. me naona kosa la flora kuongea mambo yake public ila alie anza ni mumewe. alafu ivi kuna mzazi anayeweza kusema mwanae anamakosa me sioni cha ajabu hapo lazima wazazi wake wamtete.kila mtu anamtete mbasha ila naamini kama flora angeendelea kuchonga kama mbasha mh makubwa tusio fahamu tungesikia. Ushauri jamani ukiachana na mtu we achananae kimya kimya so mpk mabango na kuchafua kusiko na maana.
 
Habari wana JF. Juzi nilikuja na uzi nikimshambulia Flora Mbasha kwamba hana Mungu ndani yake maana anavunja ndoa yake mwenyewe misili ya mtu ambaye hajawahi kusoma hata fungu moja la Biblia, watu walinishambilia sana. Leo nimeona hii video ya Baba yake mbasha akisema Flora alimchoka mwanangu, inasikitisha sana nasikia kulia nikitafakari mke wako mwenyewe tena wa ndoa akikumaliza huku ukiona.

HITIMISHO
Mungu haabudiwi kwa style ya kuimba kwa kupiga makelele na kukata viuno bali tunamuita Mungu awe ndani yetu kwa kuimba nyimbo za kuabudu, ndio maana katika maisha yangu sijawahi kupenda nyimbo za huyu dada pamoja na Rose Mhando sidhani kama mungu atakua ndani kwa ujinga kama ule wa kupiga kelele na kukata viuno.

hata mimi naungana na huyu anayesema na kutounga mkono ju ya aina ya uimbaji w Flora Mbasa na Rose mhando wa kukata viuno na kucheza muziki unaofanana na wa kidunia. Unakuwa na ma stage show ambao ni vijana mnawafunidsha kukata viuno nakucezamitindo ya kidunia? Uimbaji wa Mungu unaimbwa kwa unyenyekvu mkubwa na kama unfuarahi onyesha furaha yako iwe na utukufu wa MUNGU. KINYUME NA HAPO UNAMTUKUZA IBILISI NA NDIO MAAA UNAONA SHETANI AMEINGILIA NDOA YAO NA ANAWATENGANISHA KWA MAGOMVI MAAANA WAME MWACHA YESU FLORA TUBU DHAMBI ZAKO
 
daudi aliimba na kucheza wapi? Ilikuwa kanisani? Emphasis ya andiko hilo ni nini?

kaka daudi hakuimba na kucheza akiwa kanisani yaani watu wanachanganya neno la mungu liko wazi. Hebu turudi tukasome story ya daudi ndipo tuzungumze hapa bila neno kuelewa utapotosha watu
 
Ndugu mfalmw Sulemani alicheza lakini cheza yake haikuwa arranged/ planned alijikuta akipata mizuka na kurukaruka kwa furaha kwa matendo makubwa aliyofanyiwa na Mungu, hawa wakina Rose Mhango wana plan in advance jinsi gani atakata viuno na steps atakazocheza na dancers wake. Umeona tofauti?

Ni Suleiman au Daudi?
 
wewe naye boya sana hujui hata biblia,unamkosoa mwenzako wewe mwenyewe huijui,aliyecheza hadi nguo kumvuka si sulemani ni daudi,na ujue swala hilo halikumfurahisha mungu,ndiyo maana aliporudi nyumbani mke wake alimwambia"umefanyaje ubaya huu ukamkosea mungu?msitumie maandiko kuhalalisha vitu vya kijinga,hivyo viuno vinavyokatwa na hao wanaojiita waimbaji wa injili havimtukuzi mungu hata kidogo,
nikuulize swali,uimbaji ni uinjilisti,maana yake kusudi lake namba moja ni kupeleka neno la mungu kwa watu wasiomwamini yesu wamwamini watubu wafuate mapito yake ya maisha ya kiroho,sasa hao wanaokatika hawaufikishi ujumbe wa mungu bali viuno,waseme tu kwamba wanakata viuno kuvutia watu wanunue cd zao,
paulo anasema hivi,ikiwa tutafanana na mambo ya dunia patakuwa na tofauti gani kati ya nuru na giza?ukiangalia nuru na giza kamwe havichangamani,sasa hao akina rose mhando,frola mbasha na wengine wanatofauti gani na akina diamond,na wengine kama hao?

yaani kama ni kaka au dada au mama ubarikiwe na mungu kwa kusema ukweli mtupu hapa. Yaani kama rose mhando na flora mbasha mnasoma ujumbe huu basi acheni kudanganya watu kwa kuwaimbia nyimbo za dunia na kuita ni za injili. Hakuna tofauti kati yao na diamond. Tubuni dhambi zenu kkabadilike na kuimba nyimbo za injili halisi ya ya yesu aliyoagiza. Rose mhando tubu acha kupiga kelele za kishetani na kuchza imbeni kwa utukufu wa mungu. Acei na yesu anawpend saa mktubu na kuachana watu wataanunulia cd/dvd zenu tu mana zinaupako
 
Mambo ya mbasha ni yake na familia yake, we huo ushahidi unaotoa nani kakwambia na una uhakika gani kuwa chanzo cha mvulugano wao haukuanzia kwa mume wake, halafu usipende kutoa hukumu kwa watu wengine kupitia experience ya mtu mmoja. Una uhakika gani kuwa anachoimba rose m ni chukizo kwa bwana? Mungu huinua watu kwa njia tofauti tofauti. Alivyo itwa huyu ni tofauti na alivyo itwa yule.ndo maana hata Yesu alivyo inuliwa wengi walimpinga kwan hakufanana na waliomtangulia.
 
Mwanamke akiingia hila,,anageuka kiumbe wa ajabu mno.
 
Disco zilipopigwa marufuku zilihamia maknsni..anayebisha aseme.Hivi wimbo kama ule wa Bahati buku2 "dunia haina huruma au mzee tupatupa"Unatafaut gani na bongo flava?? Hauna madili ya kdni
 
Habari wana JF. Juzi nilikuja na uzi nikimshambulia Flora Mbasha kwamba hana Mungu ndani yake maana anavunja ndoa yake mwenyewe misili ya mtu ambaye hajawahi kusoma hata fungu moja la Biblia, watu walinishambilia sana. Leo nimeona hii video ya Baba yake mbasha akisema Flora alimchoka mwanangu, inasikitisha sana nasikia kulia nikitafakari mke wako mwenyewe tena wa ndoa akikumaliza huku ukiona.

HITIMISHO
Mungu haabudiwi kwa style ya kuimba kwa kupiga makelele na kukata viuno bali tunamuita Mungu awe ndani yetu kwa kuimba nyimbo za kuabudu, ndio maana katika maisha yangu sijawahi kupenda nyimbo za huyu dada pamoja na Rose Mhando sidhani kama mungu atakua ndani kwa ujinga kama ule wa kupiga kelele na kukata viuno.

frola mbasha+bahati bukuku+gwajima+mwigila=agenti of satanic,
 
Ndugu yangu, mim kama mwana ume mwenye ndoa tena ya kikristo, nina umia sana kuona vijana hawa shetani amewatumia mpaka kufikia kiasi hiki. Lakini pia ninaumia tena kwa kiwango kikubwa mno ninapo ona sisi binadamu tunanyosheana vidole kana kwamba sis i ndo tuko 100% safi na tuko mbali na dhambi.

Maandiko hayo yako kwenye biblia na nikiombwa kuyadhibitisha nitafanya hivyo au mtu mwingine atafanya hivyo.

1.Yesu ana waambia wanafunzi wake, amri kubwa nawapeni,nayo ni upendo, mpende jirani yako kama nafsi yako.Yesu akamalizia na kusema utasemaje unampenda Mungu ambaye humuoni wakati ndugu yako unaye muona unamchukia? Katika jambo hili,Yesu hakumanisha ndugu yako wa damu moja,alimanisha ndugu kwa maana wote ni watoto wa baba mmoja na hivyo twapaswa kupendana, kusameheana, kuchukuliana mizigo. nk

Hivyo basi nawaombeni jamani kwa wale wakristo hawa jamaa
Frola na Emanul ni ndugu zetu hivi kwanini tusipate muda wa kuwaombea kwa Mungu awasaidie haswa katika vipindi hivi vigumu? Kwani sis ndo hatuna madhambi, au kwasababu ya kwetu hayajafunuliwa wazi ndo tunachukua mwanya huu wa kuwahukumu?

Tukumbuke mtoa hukumu ya mwisho ni Mungu. Kiukweli unapo anzisha uzi una mzungumzia mtu, akiusoma , hivyo ndo kwanza anazidi kukata tamaa. katika ulimwengu wa roho tunakuwa hatujamsaidia ila ni kumvuja moyo kabisa na biblia katika hili inatuita wauwaji.

2.Wanafunzi wa Yesu wamepeleka mashtaka kwa
Yesu kwamba mama mmoja alitenda dhambi yakuzini. Yesu akawaambia asiye kuwa na na dhambi awe wa kwanza kumpiga jiwe huyo mzinifu.Biblia inasema wote wakainamisha vichwa vyao na kusutwa ndani ya mioyo yao. Niwa ulize nyie mnao andika Frola Frola Frola Frola, Mbasha,Mbasha, Mbasha, kwani nini msitwambie na nyie maovu yenu tuyajadiri hapa? Lakini pia ukiandika uzi kama huo na watu wakakuchangia, unaongezeka nini, kiroho, kimwili au kiuchumi pia? jaribuni kufikiria haya mambo migogoro ya ndoa hakuna mtu aiyatakaye na hakuna alie andikiwa mahalum kuyapitia.
kumbuka na wewe kesho mkeo au mumeo anaweza kuwa mwiba mkali. Tutashindwa tu kukujua tu kwasbb haufahamiki kama hawa waimbaji.Nafikiri tungejaribu kuwaombea Mungu awasaidie ingekuwa
ni vizuri zaidi hili si fungu lao ambalo Mungu aliwapangia
apa duniani.

3.Yesu ana waambia wanafunzi wake, usitoe kibanzi kwenye jicho la ndugu yako wakati wewe una boriti katika jicho lako, kwanza toa boriti lako then ndo uje kutoa kibanzi cha mwenzio. Hapa Yesu aliona mbali haswa wa tuwa namna kama yako unayetafuta tafuta habari za dhambi za wenzio wakati na wewe hauna haki mbele za Mungu kwa
maana nawewe una makosa yako. Tupunguze basi kuwa hukum hawa wanandoa huu ni wakati mgum kwao,
lakini Mungu anasema mjooni tusemezane dhambi zenu zijapokuwa nyeusi, zitakuwa nyeupe. Mungu apa alimanisha kwamba kwa yeyote andae kwakwe kutubu na kuungama katika toba ya kweli ya moyo usamehewa. Sioni kama wewe unafanya vyema kushabikia jambo hili. wakati ukute Frola mwenyewe/Mbasha tiyari wako magotini na wanaomba msamahaa, wewe unabakia kuandika kelele tu kama chura atoavyo kelele kwenye maji bila sababu.


4. Biblia inasema Kumbuka uliko anguka na ukatubu. Hii inatuonyesha wazi wazi kwamba Mungu katoa nafasi ya kutubu na kutusamehe, sasa wewe kila siku unaimba frola frola, kumbe frola mwenzio ameisha mlilia Mungu nakutengeneza na Mungu na Mungu kamsamehe, mwenzio kaisha tengeneza na Mungu wewe unabaki kushiriki dhambi ya bure..mpaka una andika eti juz ulileta hoja ya Frola watu wakakushambulia, ni vyema ulistahili kushambuliwa. hebu tujaribu basi kuchukuliana kama ndugu na hivyo jambo kama hili likitokea na sisi lituumizie moyo bila ya kulishabikia na kutafuta umaharuf usio kuwa wa maana
.

Namalizia wewe upende usipende, ukubali usikubali uwe wa dini yoyote, lazima ujue mtoa hukumu ya kweli ni Mora Mungu wengu, hivyo hata ukimnyoshea kidole ndugu yako haina maana
.
MUNGU WASAIDIE WANA NDOA HAWA UWAVUSHE KWENYE BAHARI YA HII YA SHAMU.
 
emma lazima ataenda 30 jala, kwa sababu wenzake walishaitengeneza kesi hy muda mrefu.fikiria wenzake walihonga waandishi watatu wa habari sh.mil moja kwa kila mmoja,polisi nako wakakata fungu kwa dakitari nako wakatoa kwa hakimu nako ndo usiseme tena,je emma mbasha unazani atatoka?binti anaejifanyisha kubakwa alikwenda kuishi kwa gwajima badala kwa ndugu zake,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom