Soma Hapa Kumhusu Flora Mbasha

Soma Hapa Kumhusu Flora Mbasha

Nyimbo za injili siku hizi ni biashara kama biashara zingine
 
Florah Mbasha amejidhalirisha sana, amelidhalirisha hata neno la mungu alilokuwa akilieneza.. Hivi atawezaje kusimama tena kulitangaza neno la Bwana, na watu wathubutu kumsikiliza, achilia mbali kumwamini..!! Mambo ya aibu sana.
 
Florah Mbasha amejidhalirisha sana, amelidhalirisha hata neno la mungu alilokuwa akilieneza.. Hivi atawezaje kusimama tena kulitangaza neno la Bwana, na watu wathubutu kumsikiliza, achilia mbali kumwamini..!! Mambo ya aibu sana.
Hatima ya huduma ya Flora iko mikononi mwa Imma...bahati mbaya sasa Imma yuko mikononi mwa dola.. bila kuwa na imma kila atakapo kuwa anapanda jukwaani watu lazima watahoji...
 
Huna Point Wewe, Eti Usicheze Ukiimba! Embu Kanunue Biblia Usome Daudi Alifanyeje?

Wewe ndio huelewi japo unasoma alichofanya daudi. Mna masikio lakini hamsikii, mna macho hamuoni. Daudi alikuwa kwenye Ibada? Hebu soma upya na utafakari.
 
Aisee we ni mchambuzi mpaka nafurahi yaan. Kwel Suleiman ni furaha hadi akashindwa kujizuia ila hawa wa kwetu wanajiandaa kabisa kukata mauno yao. Ila duh uyu Flora kajaa jaa ana kamvuto flani ivi
Hivi huyu florah ni kabila gani manake duuuuuuh anavyokatika hivyo si mchezo,,,Jamani Gwajima ana faidi kweli.....
 
Florah Mbasha amejidhalirisha sana, amelidhalirisha hata neno la mungu alilokuwa akilieneza.. Hivi atawezaje kusimama tena kulitangaza neno la Bwana, na watu wathubutu kumsikiliza, achilia mbali kumwamini..!! Mambo ya aibu sana.
Jamani muacheni kumuandama florah hamjui kama hii kitu ni tamu huenda ya Emmanuel ilikua haimkuni vizuri kunako, Chezea Gwajima wewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Habari wana JF. Juzi nilikuja na uzi nikimshambulia Flora Mbasha kwamba hana Mungu ndani yake maana anavunja ndoa yake mwenyewe misili ya mtu ambaye hajawahi kusoma hata fungu moja la Biblia, watu walinishambilia sana. Leo nimeona hii video ya Baba yake mbasha akisema Flora alimchoka mwanangu, inasikitisha sana nasikia kulia nikitafakari mke wako mwenyewe tena wa ndoa akikumaliza huku ukiona.

HITIMISHO
Mungu haabudiwi kwa style ya kuimba kwa kupiga makelele na kukata viuno bali tunamuita Mungu awe ndani yetu kwa kuimba nyimbo za kuabudu, ndio maana katika maisha yangu sijawahi kupenda nyimbo za huyu dada pamoja na Rose Mhando sidhani kama mungu atakua ndani kwa ujinga kama ule wa kupiga kelele na kukata viuno.


pole hujasoma ZABURI. kwenye hitimisho umekosea sana.
 
Hatima ya huduma ya Flora iko mikononi mwa Imma...bahati mbaya sasa Imma yuko mikononi mwa dola.. bila kuwa na imma kila atakapo kuwa anapanda jukwaani watu lazima watahoji...

Mkuu isotope umenena kabisa. Flora kutokuwa na Imma maishani mwake ni anguko kubwa sana kimaisha. Hataweza kupata public support tena kwa nyimbo zake na hataweza kusimama jukwaani kumsifu Mungu. Ni Mungu yupi atamsifu wakati ameshindwa kusamehe? Mume wake anasema wazi kuwa anampenda sana mke wake na anamwomba popote alipo ajitokeze arudi nyumbani na ameshamsamehe kwa kila kitu. Mkuu ile kesi ni framing tu!!! Hata kama alikuwa anakula shemeji ni kwa kuwa it seems ndoa yao ilianza kukumbwa na misukosuko muda mrefu. Pia nina wasiwasi sana kama wako na amani na hakuna shida ni kwa nini wana mtoto mmoja tu binti? Wanisamehe kama wana tatizo la uzazi ila kama ni under normal circumstances wangekuwa na watoto wengine kwa sababu are married over 10 years na binti ni mkubwa tu!!! Ni maswali mengi ya kujiuliza ila ni wakati umefika wasahau yote waanze upya!!! Tena from their crisis wanaweza kuanzisha hata huduma ya marriage healing na itawapa hela nzuri sana. So sadi.
 
Inamaana Kiswahili hukijui misili maanayake ni mfano

dah ni mithili si misili!!! Watoto wa siku hizi na Kiswahili utasikia wakisema vizuri ukiwaambia waandike utaona haya hakuna=Akuna, hapa=apa, n.k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom