Soma Hapa Kumhusu Flora Mbasha

Soma Hapa Kumhusu Flora Mbasha

wewe ndio huelewi japo unasoma alichofanya daudi. Mna masikio lakini hamsikii, mna macho hamuoni. Daudi alikuwa kwenye ibada? Hebu soma upya na utafakari.

jifanye tahira tu ipo day utaelewa
 
Hayatuhusu. Acheni kumfatafata flora!! Hangaikeni na maisha yenu. Tumechoka sasa. Flora, flora, flora, hamna jipya? ebo!!
 
Habari wana JF. Juzi nilikuja na uzi nikimshambulia Flora Mbasha kwamba hana Mungu ndani yake maana anavunja ndoa yake mwenyewe misili ya mtu ambaye hajawahi kusoma hata fungu moja la Biblia, watu walinishambilia sana. Leo nimeona hii video ya Baba yake mbasha akisema Flora alimchoka mwanangu, inasikitisha sana nasikia kulia nikitafakari mke wako mwenyewe tena wa ndoa akikumaliza huku ukiona.

HITIMISHO
Mungu haabudiwi kwa style ya kuimba kwa kupiga makelele na kukata viuno bali tunamuita Mungu awe ndani yetu kwa kuimba nyimbo za kuabudu, ndio maana katika maisha yangu sijawahi kupenda nyimbo za huyu dada pamoja na Rose Mhando sidhani kama mungu atakua ndani kwa ujinga kama ule wa kupiga kelele na kukata viuno.

Wewe umefanikiwa kujua kitu ambacho wengi wamekosa. Umeweza kujua tofauti kati ya entertainers na worshipers. Hao uliowataja hapo juu ni entertainers. Binafsi nyimbo zao naziona kuwa sehemu ya burudani tu.
 
Kwako ni ujinga lakini kwa Mungu ni wa thamani sana.
 
Habari wana JF. Juzi nilikuja na uzi nikimshambulia Flora Mbasha kwamba hana Mungu ndani yake maana anavunja ndoa yake mwenyewe misili ya mtu ambaye hajawahi kusoma hata fungu moja la Biblia, watu walinishambilia sana. Leo nimeona hii video ya Baba yake mbasha akisema Flora alimchoka mwanangu, inasikitisha sana nasikia kulia nikitafakari mke wako mwenyewe tena wa ndoa akikumaliza huku ukiona.

HITIMISHO
Mungu haabudiwi kwa style ya kuimba kwa kupiga makelele na kukata viuno bali tunamuita Mungu awe ndani yetu kwa kuimba nyimbo za kuabudu, ndio maana katika maisha yangu sijawahi kupenda nyimbo za huyu dada pamoja na Rose Mhando sidhani kama mungu atakua ndani kwa ujinga kama ule wa kupiga kelele na kukata viuno.

Aise naunga mkono hoja.kumbe siko peke yangu yaani hakuna kitu nalaani na kuchukia hizi nyimbo za dini kwa style za dansi .God Bless you guy
 
Habari wana JF. Juzi nilikuja na uzi nikimshambulia Flora Mbasha kwamba hana Mungu ndani yake maana anavunja ndoa yake mwenyewe misili ya mtu ambaye hajawahi kusoma hata fungu moja la Biblia, watu walinishambilia sana. Leo nimeona hii video ya Baba yake mbasha akisema Flora alimchoka mwanangu, inasikitisha sana nasikia kulia nikitafakari mke wako mwenyewe tena wa ndoa akikumaliza huku ukiona.

HITIMISHO
Mungu haabudiwi kwa style ya kuimba kwa kupiga makelele na kukata viuno bali tunamuita Mungu awe ndani yetu kwa kuimba nyimbo za kuabudu, ndio maana katika maisha yangu sijawahi kupenda nyimbo za huyu dada pamoja na Rose Mhando sidhani kama mungu atakua ndani kwa ujinga kama ule wa kupiga kelele na kukata viuno.
Mkuu huyo dada ni makelele matupu, na nadhani angependa awe star wa kuimba, lakini hana style wala mvuto.

Hii kashfa na ukweli unaotolewa na ndugu zake wanaomzunguka unaondoa kabisa unyota wake, jana nilisema ningekuwa na disc yake ningeitupa kabisa.

Kitendawili hapa ni undugu wake na Mzee Kulola(nasikia mjukuu wake-sijui kama kweli), anamuaibisha huko alikolala mzee huyo.
 
Acha kukurupuka,kasome biblia naona unaongea usikokijua,mtu akimcheza na kurukaruka kumtukuza Mungu we unasema ujinga! Shame upon your face!
 
Habari wana JF. Juzi nilikuja na uzi nikimshambulia Flora Mbasha kwamba hana Mungu ndani yake maana anavunja ndoa yake mwenyewe misili ya mtu ambaye hajawahi kusoma hata fungu moja la Biblia, watu walinishambilia sana. Leo nimeona hii video ya Baba yake mbasha akisema Flora alimchoka mwanangu, inasikitisha sana nasikia kulia nikitafakari mke wako mwenyewe tena wa ndoa akikumaliza huku ukiona.

HITIMISHO
Mungu haabudiwi kwa style ya kuimba kwa kupiga makelele na kukata viuno bali tunamuita Mungu awe ndani yetu kwa kuimba nyimbo za kuabudu, ndio maana katika maisha yangu sijawahi kupenda nyimbo za huyu dada pamoja na Rose Mhando sidhani kama mungu atakua ndani kwa ujinga kama ule wa kupiga kelele na kukata viuno.
tunafanana mawazo mkuu
 
Nilisikia kwa watu, kuwa kuna waimbaji wa gospel wanavuta bangi, tena hao hao wakina dada!
 
Jamani muacheni kumuandama florah hamjui kama hii kitu ni tamu huenda ya Emmanuel ilikua haimkuni vizuri kunako, Chezea Gwajima wewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

The following types of people hate Gwajima like never before; he is a nonsense Pastor against;
  • Corrupt leaders
  • Wachawi, waganga wa kienyeji, wasoma nyota
  • Freemason and the Illuminati
...to mention only a few.

He is the pastor that has the largest congregation in the country if not in Eastern and Southern Africa attending in one service.
When he preached in Arusha, Moshi and Tanga he pulled a capacity crowd that no politician had ever been able to, in fact people in those areas have never gathered in such big numbers since time in memorial.

He is probably the only pastor in the country who teaches the applied word of God and not history in the Bible. He brings the truth of the word of God to a person who lives in Manzese,Temeke, Tandika, etc. His message of the word of God is designed such that a moslem will listen to him, a Buddhist will listen to him, a philosopher will listen to him, a professor of any faculty will sit back and listen to him.

He is a writer, a researcher of the word of God and common knowledge, an ardent reader and teacher. No wonder he is perhaps the only pastor who receives invitations to universities in Japan, The US, UK and other parts of the world to offer lectures.

In his church there are loads and loads of moslems who converted to Christianity because he is able to provide solutions to their challenges in life through the practical exposition of the word of God.

There is one prominent book authored by himself called "Maombi ya Kushindana"; one of the most powerful prayer book, you will find it in almost every church in Tanzania; pastors as well as church members use this book in their battle against the powers of darkness and many have been redeemed through this book.

He loves challenges, mocking and all kinds of despises because Jesus received more of those including death on the cross of Calvary. He is not on TV or radio but you wonder why he is pulling such crowds than any other church in Tanzania. The answer is, he is a real teacher of the word of God and committed to do so to get Tanzanians who are in bondage of satanic powers to get out of them before Jesus comes to take his people to heaven.

He will never be shaken by these childlike tantrums; and if you do not believe me please attend one service at Kawe; you will certainly agree with me that you have never heard anyone teaching the word of God like he does, absolutely sublime!
 
Ndugu mfalmw Sulemani alicheza lakini cheza yake haikuwa arranged/ planned alijikuta akipata mizuka na kurukaruka kwa furaha kwa matendo makubwa aliyofanyiwa na Mungu, hawa wakina Rose Mhango wana plan in advance jinsi gani atakata viuno na steps atakazocheza na dancers wake. Umeona tofauti?

Kucheza kwao wewe kunakukera nini?
 
Mkuu isotope umenena kabisa. Flora kutokuwa na Imma maishani mwake ni anguko kubwa sana kimaisha. Hataweza kupata public support tena kwa nyimbo zake na hataweza kusimama jukwaani kumsifu Mungu. Ni Mungu yupi atamsifu wakati ameshindwa kusamehe? Mume wake anasema wazi kuwa anampenda sana mke wake na anamwomba popote alipo ajitokeze arudi nyumbani na ameshamsamehe kwa kila kitu. Mkuu ile kesi ni framing tu!!! Hata kama alikuwa anakula shemeji ni kwa kuwa it seems ndoa yao ilianza kukumbwa na misukosuko muda mrefu. Pia nina wasiwasi sana kama wako na amani na hakuna shida ni kwa nini wana mtoto mmoja tu binti? Wanisamehe kama wana tatizo la uzazi ila kama ni under normal circumstances wangekuwa na watoto wengine kwa sababu are married over 10 years na binti ni mkubwa tu!!! Ni maswali mengi ya kujiuliza ila ni wakati umefika wasahau yote waanze upya!!! Tena from their crisis wanaweza kuanzisha hata huduma ya marriage healing na itawapa hela nzuri sana. So sadi.
Hela nzuri? Kimaslahi zaidi mkuu!? Bahati mbaya, imma yuko kwa pilato tayari, unafikri itakuwa rahisi kumchomoa?
 
Mkuu huyo dada ni makelele matupu, na nadhani angependa awe star wa kuimba, lakini hana style wala mvuto.

Hii kashfa na ukweli unaotolewa na ndugu zake wanaomzunguka unaondoa kabisa unyota wake, jana nilisema ningekuwa na disc yake ningeitupa kabisa.

Kitendawili hapa ni undugu wake na Mzee Kulola(nasikia mjukuu wake-sijui kama kweli), anamuaibisha huko alikolala mzee huyo.

Its amazing, God will judge her whether her singing is noisy or not; you did not create her, God gave her that voice which you regard as noisy. Why don't you leave her alone to be judged by God (Jehovah) who knew her before she was born?

This is incredible!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom