Moderator
Supervisor
- Nov 29, 2006
- 698
- 1,131
Salaam,
Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba hatimaye tumekamilisha maboresho tuliyokuwa tukiyafanya kwenye APP ya JamiiForums na sasa inapatikana ikiwa na muonekano mzuri zaidi pamoja na urahisi wa kutumia. Unaweza kuipakua sasa au kama tayari unayo tafadhali fanya Update ili kupokea maboresho hayo.
Kwa takribani siku 10, baadhi ya watumiaji hususan wa device za mfumo wa Android mlikutana na changamoto ya kutoweza kuipata App ya JamiiForums kupitia Playstore; JamiiForums haipatikani Playstore. Nini tatizo?
Tunashukuru kwa uvumilivu wenu katika kipindi chote tulichokuwa tukiifanyia kazi.
Kuna swali lolote?
Karibu.. Bonyeza HAPA kuupdate
=====================
UPDATES (March, 2018):
Ndugu WanaJF,
Tumepokea malalamiko kuhusu changamoto kadhaa ikiwemo kuchelewa au kutopokea kabisa notifications kwa watumiaji wa Android.
Wataalamu wetu wanazifanyia kazi changamoto hizo hivyo tunaomba uvumilivu wenu kidogo.
Asante.
Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba hatimaye tumekamilisha maboresho tuliyokuwa tukiyafanya kwenye APP ya JamiiForums na sasa inapatikana ikiwa na muonekano mzuri zaidi pamoja na urahisi wa kutumia. Unaweza kuipakua sasa au kama tayari unayo tafadhali fanya Update ili kupokea maboresho hayo.
Kwa takribani siku 10, baadhi ya watumiaji hususan wa device za mfumo wa Android mlikutana na changamoto ya kutoweza kuipata App ya JamiiForums kupitia Playstore; JamiiForums haipatikani Playstore. Nini tatizo?
Tunashukuru kwa uvumilivu wenu katika kipindi chote tulichokuwa tukiifanyia kazi.
Kuna swali lolote?
Karibu.. Bonyeza HAPA kuupdate
=====================
UPDATES (March, 2018):
Ndugu WanaJF,
Tumepokea malalamiko kuhusu changamoto kadhaa ikiwemo kuchelewa au kutopokea kabisa notifications kwa watumiaji wa Android.
Wataalamu wetu wanazifanyia kazi changamoto hizo hivyo tunaomba uvumilivu wenu kidogo.
Asante.