Ndugu zangu,
Natafuta information za kampuni yeyote inayouza vifaa vya umeme wa jua kwa bei nafuu. Nataka nifunge umeme wa jua kijijini kwa sabau umeme wa TANESCO ni garama sana hasa seheu inayohitaji nguzo zaidi ya moja.
Vifaa vinavyotegemea kutumia umeme ni Taa 10 za WH zisizozidi 35, TV ndogo, kucharg simu, Redio na pasi siku moja moja.
Nitashukuru sana nikipata information za bei na vifaa vinavyohitajika. Mimi niko Dar es Salaam ila hata kama vitapatikana hapa Dar nitavisafirisha kwenda Kilimanjaro kijijini kuvifunga.
Natanguliza shukrani zangu kwa msaada wako
Natafuta information za kampuni yeyote inayouza vifaa vya umeme wa jua kwa bei nafuu. Nataka nifunge umeme wa jua kijijini kwa sabau umeme wa TANESCO ni garama sana hasa seheu inayohitaji nguzo zaidi ya moja.
Vifaa vinavyotegemea kutumia umeme ni Taa 10 za WH zisizozidi 35, TV ndogo, kucharg simu, Redio na pasi siku moja moja.
Nitashukuru sana nikipata information za bei na vifaa vinavyohitajika. Mimi niko Dar es Salaam ila hata kama vitapatikana hapa Dar nitavisafirisha kwenda Kilimanjaro kijijini kuvifunga.
Natanguliza shukrani zangu kwa msaada wako