Independent Voter
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 279
- 71
Nimejaribu kusoma kwa makini,japo bado inaendelea wiki ijayo,but so far naona Nyerere was a problem kwenye hii nchi,hasa baada ya kuondoka madarakani,sina tatizo nae alipokuwa madarakani,issue yangu ni alipokua nje ya madaraka aliutumia vibaya uzee wake kwa kujaribu kuiyumbisha serikali halali,inavyoonyesha kama sio huo uungwana wa rais wa wakati huu bwana mwinyi kama alivyokuwa akidai bwana "Alex Kowe",nyerere alitakiwa kuburuzwa kortini kwa uchochezi au uhaini.