Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,593
- 52,284
Kuna nchi walikuwa na Propaganda kama Urusi lakini ilifika mahala ikakatika vipande,CCM wenyewe wamefuta kitengo cha propaganda tunataka tuone nyie masalia katika nyakati hizi kama mutaweza kwa propaganda uchwara jipangani manake watanzania tumeamuka
Source : Froida
Source : Froida