uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 11,504
- 27,287
Hii dhana inawaumiza sana wanasiasa kiuhalisia ungesema mkurugenzi ana kazi na sio mbunge maana mbunge hajengi miundombinu kazi ya mama ni 01.kutunga sheria 02.kuishauri serikali 03.kujadili miswadaKweli kabisa.
Mbunge ajaye ana kibarua .