Soko Singida Linawaka Moto Muda Huu

Soko Singida Linawaka Moto Muda Huu

Lile sio soko ni uozo.
Zinauzwa, nyama mbichi, utumbo, samaki na mtu anakojoa na kunya hapo.
Na mama ntilie anakuuzia msosi kilaini tu
Pale hakuna Soko ni basi tu hakuna namna, Mwaka juzi kama sikosei waliambiwa wahamie Unyankindi wakaagoma kabisaa naona ni mpamgo wa kuwhaamisha kijanja au wanataka wajenge lingine ila lile eneo ni Finyu sana Mkuu
 
Pale hakuna Soko ni basi tu hakuna namna, Mwaka juzi kama sikosei waliambiwa wahamie Unyankindi wakaagoma kabisaa naona ni mpamgo wa kuwhaamisha kijanja au wanataka wajenge lingine ila lile eneo ni Finyu sana Mkuu
Kwa ule mbanano pale km mpk leo hakujabadilishwa ni shida sana.
Ukipinda kona moja uko kwenye mansion ya wahindi wale Naghji,
Ukipinda mbele ni mtaa wa kina Dewji. Mtu unafkiria hawa dk 5 nyingi wanajenga hilo soko.
Hata uwanja wa Namfua tulipiga kelele haswa.
Soko mpaka linachomwa moto.
 
Kwa ule mbanano pale km mpk leo hakujabadilishwa ni shida sana.
Ukipinda kona moja uko kwenye mansion ya wahindi wale Naghji,
Ukipinda mbele ni mtaa wa kina Dewji. Mtu unafkiria hawa dk 5 nyingi wanajenga hilo soko.
Hata uwanja wa Namfua tulipiga kelele haswa.
Soko mpaka linachomwa moto.
Kuna ile ukinyoosha ni Dampo uchafu mtupuu umezagaa Pale
 
Back
Top Bottom