Soko la vitabu mtandaoni likoje?

Nitafanyaje biashara mtandaoni?

  • Any

    Votes: 0 0.0%
  • Any

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    0

Benson GS

New Member
May 1, 2023
2
1
Nimeandika kitabu cha hisabati Kwa shule zinazotumia lugha ya kingereza, lakini changamoto ni Soko. Naomba mwenye uzoefu wa kufanya na kutangaza biashara mtandaoni anipé uzoefu au namna bora ya kufanya biashara ya academic books. Nipo Arusha.
 
Back
Top Bottom