1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
wadau mimi nimepumzishwa kibarua sehemu niliyokua nawajibika,baada ya kufungua kesi na kushinda kesi hiyo,nimeamua kuachana na ajira kabisa,nasubiri nilipwe changu niwe mjasiliamali,sasa nilikua nataka niwekeze kwenye kuku wa kieneyeji,mayai yake na bata mzinga pia(turkey) hasa katika mkoa wa morogoro kwa vile tayari nina eneo la kutosha kule,naomba yeyeto mwenye taarifa juu ya soko la uhakika wa bidhaa tajwa hapo juu anisaidie ili nisije wekeza kwa kitu kisicho kua na maslahi...asanteni wadau