rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,122
- 1,313
Habari zenu wakuu, naomba kujua kwa Dar wapi nitapata soko zuri la kuuza ngozi ya ng'ombe na mifupa ya ng'ombe.
Naomba mwenye kujua anisaidie tafadhali. shukrani sana.
Naomba mwenye kujua anisaidie tafadhali. shukrani sana.