Soko la mashudu (sunflower cake) Dar es Salaam likoje?

Mponjoli

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
668
152
Habari wadau

Mwezi huu katika kutembelea mradi wangu wa kilimo cha alizeti huko Rukwa nimeamua kuvuna na kukamua mafuta mwenyewe kuliko kuuza alizeti, kutokana na bei ya mafuta kuwa ya kuridhisha kwa sasa. Nimekwazika kidogo na bei ya mashudu huku Sumbawanga. Soko la mashudu Dar likoje? Kama kuna mtu ana info tafadhali tujulishane kuanzia bei, maeneo gani hasa naweza kupata wateja kwa Dar.

Asanteni
 
Ukija Dar utapata soko maana mashudu ya alizeti ni adimu kwa wafugaji,

Asante BornTown.

Wafugaji changamkieni hii kitu. Nina contacts nzuri na wakamuaji mafuta hapa Sumbawanga. Ninaweza nikawa naendelea kuwaletea Dar sababu mimi mwenyewe nafanya shughuli zangu zingine Dar es salam.
 
Habari wadau

Mwezi huu katika kutembelea mradi wangu wa kilimo cha alizeti huko Rukwa nimeamua kuvuna na kukamua mafuta mwenyewe kuliko kuuza alizeti, kutokana na bei ya mafuta kuwa ya kuridhisha kwa sasa. Nimekwazika kidogo na bei ya mashudu huku Sumbawanga. Soko la mashudu Dar likoje? Kama kuna mtu ana info tafadhali tujulishane kuanzia bei, maeneo gani hasa naweza kupata wateja kwa Dar.

Asanteni

Niuzie mimi hata kama una Tani 10, bei ntakupa 450 kwa kilo - kazi kwako. Ila yawe mashudu meusi.
 
Asante BornTown.

Wafugaji changamkieni hii kitu. Nina contacts nzuri na wakamuaji mafuta hapa Sumbawanga. Ninaweza nikawa naendelea kuwaletea Dar sababu mimi mwenyewe nafanya shughuli zangu zingine Dar es salam.

pia nisaidie kupata bei ya mahindi huko kwa gunia, nahitaji kwa kiasi kikubwa.
 
Niuzie mimi hata kama una Tani 10, bei ntakupa 450 kwa kilo - kazi kwako. Ila yawe mashudu meusi.[/QUOTE ]

Nitakutumia namba yangu. Nitaomba unitumie yako pia ili tuwasiliane na tukubaliane. Kuhusu mahindi nitafanya utafiti kidogo hapa nijue bei zake na mahali gani utapata bei nzuri zaidi kwa hapa Rukwa. Kipindi hiki ni cha mavuno, bei inakuwa nzuri.
 
Niuzie mimi hata kama una Tani 10, bei ntakupa 450 kwa kilo - kazi kwako. Ila yawe mashudu meusi.

mkuu naomba contact zako ili tuwasiliane kuhusu soko la mashudu ya alizeti hapa dar.
 
Back
Top Bottom