Mponjoli
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 668
- 152
Habari wadau
Mwezi huu katika kutembelea mradi wangu wa kilimo cha alizeti huko Rukwa nimeamua kuvuna na kukamua mafuta mwenyewe kuliko kuuza alizeti, kutokana na bei ya mafuta kuwa ya kuridhisha kwa sasa. Nimekwazika kidogo na bei ya mashudu huku Sumbawanga. Soko la mashudu Dar likoje? Kama kuna mtu ana info tafadhali tujulishane kuanzia bei, maeneo gani hasa naweza kupata wateja kwa Dar.
Asanteni
Mwezi huu katika kutembelea mradi wangu wa kilimo cha alizeti huko Rukwa nimeamua kuvuna na kukamua mafuta mwenyewe kuliko kuuza alizeti, kutokana na bei ya mafuta kuwa ya kuridhisha kwa sasa. Nimekwazika kidogo na bei ya mashudu huku Sumbawanga. Soko la mashudu Dar likoje? Kama kuna mtu ana info tafadhali tujulishane kuanzia bei, maeneo gani hasa naweza kupata wateja kwa Dar.
Asanteni