nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Saalam?
Zipo tetesi kuwa manispaa ya Morogoro inataka kujenga uzio (ukuta) kufanya ivo no kuwanyima wananchi fursa ya kuongeza kuipato Chao kwa kuitumia soko hilo.
Kama ni kweli viongozi wa manispaa hiyo wanatakiwa wafikiria Mara mbili mbili.
Wananchi walikuwepo kabla ya soko jipya hakuna sababu ya kujenga uzio waacheni wananchi wafaidi matunda ya kazi yao
Asante.
Zipo tetesi kuwa manispaa ya Morogoro inataka kujenga uzio (ukuta) kufanya ivo no kuwanyima wananchi fursa ya kuongeza kuipato Chao kwa kuitumia soko hilo.
Kama ni kweli viongozi wa manispaa hiyo wanatakiwa wafikiria Mara mbili mbili.
Wananchi walikuwepo kabla ya soko jipya hakuna sababu ya kujenga uzio waacheni wananchi wafaidi matunda ya kazi yao
Asante.