Nakuchukia sana
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 496
- 952
Watu wengi sana wanatumia huo mfumo, maana hakuna gharama, n kuvuta tu la kwako bila yeyote kujua. Hata mimi nimesogeza la kwangu, hatatujamaliza wiki mbili tumeachana, ila simind maana wakuvuta wapo wengi.
Je, na ww unatembea na huu mfumo, au vipi saiv wa Tanzania hatutaki gharama, unampeleka hotel unamnulia chips kuku, mambo ya sherehe hamna na tayar umeoa.
Je, na ww unatembea na huu mfumo, au vipi saiv wa Tanzania hatutaki gharama, unampeleka hotel unamnulia chips kuku, mambo ya sherehe hamna na tayar umeoa.