Sogea tuishi sasa ndo mpango mzima?

Sogea tuishi sasa ndo mpango mzima?

Nakuchukia sana

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
496
Reaction score
952
Watu wengi sana wanatumia huo mfumo, maana hakuna gharama, n kuvuta tu la kwako bila yeyote kujua. Hata mimi nimesogeza la kwangu, hatatujamaliza wiki mbili tumeachana, ila simind maana wakuvuta wapo wengi.

Je, na ww unatembea na huu mfumo, au vipi saiv wa Tanzania hatutaki gharama, unampeleka hotel unamnulia chips kuku, mambo ya sherehe hamna na tayar umeoa.
 
Kuna kenge mmoja humu juzi kati kaambiwa mahali 18m natamani nimtag afatee huu ushauri wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom